Wakuu Na mgonjwa Ocean road hapati tiba kwa sababu Machine imeharibika ni week ya pili inakata kipi kinashindwa kutatuliwa ifanye kazi na malipo wanapokea watu wa bima wanapelekwa kupimiwa mhimbili kwanini wa cash nao wasingewafanyia hivo......... sikumpenda Jiwe ila namkumbuka