Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
- Thread starter
- #21
Mbona kaziSiasa hua ina tabia hiyohiyo ya kuwafuata watu kila eneo la maisha yao kila wakati.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kaziSiasa hua ina tabia hiyohiyo ya kuwafuata watu kila eneo la maisha yao kila wakati.
Wauziwe au wakodi?Maldives ni nchi mkuu na Mafia ni Sehemu ndani ya Tanzania ,.Ulinganisho .sio sahihi , Ili kuinua kisiwa Cha Mafia kunahitajika uwekezaji mkubwa sana kitu ambacho kwa uchumi wetu ni bado sana, Labda tuwauzie wawekezaji
Ingekua more land ndio utalii basi Urusi na China wangeongoza kwa Africa Sudan ingekua noma ila mambo hayaendi hivyo.uchumi wa mafia n kiasi gan mbona kama ujaelewa ulinganifu!!
kuwepo kwa ardhi nayo ni factor hivo vivutio utaviweka hewani…
More land you can do more
Uko sahihi lakini Swali langu kama huna ardhi utawekeza wap??Ingekua more land ndio utalii basi Urusi na China wangeongoza kwa Africa Sudan ingekua noma ila mambo hayaendi hivyo.
Unahitaji investments za maana kwenye miundombinu, hapo Thanda kuna Helicopter ya kufuata Wateja walipo, kuna Huduma zote, sidhani kama Mafia hata kama kuna Airport ama Airport ya maana.
Unahitaji beach safi kama za Maldives, na sio zetu hizi ambazo kila takataka inatupwa Baharini
Unahitaji vivutio vya asili na vya kutengeneza etc.
Are you trying to challenge my stress? 200trillion like how? Wameziweka wapi?Siko nje ya mstari mkuu. Inauma sana ukihesabu hela CCM wameiba imezidi trillion 200. Lakini Chadema inalaumiwa kwa kila kitu
uzi wangu umegeuka wa siasaAre you trying to challenge my stress? 200trillion like how? Wameziweka wapi?
Nimelinganisha ukubwa!Unalinganisha vitu viwili tofauti sana mkuu...
Maldives ni nchi mkuu na Mafia ni Sehemu ndani ya Tanzania ,.Ulinganisho .sio sahihi , Ili kuinua kisiwa Cha Mafia kunahitajika uwekezaji mkubwa sana kitu ambacho kwa uchumi wetu ni bado sana, Labda tuwauzie wawekezaji