Hajapoteza muda chief.....Anapoteza muda.bora aludi akapige kwata tu.
Wametuchezea sinema ya police storyHajapoteza muda chief.....
Kilicho fanyika kule Arusha ni kucheza na akili zetu tu.
Ebu tusubiri hatua ya pili kabla ya kuingia kwenye kinyang'anyiro cha sanduku la kura.
ChatoHv jimbo gani limekaa kizembe zembe na mie nikachukue form hata vijijini ha haaa
Muleba KusiniHv jimbo gani limekaa kizembe zembe na mie nikachukue form hata vijijini ha haaa
Mtera kwa KibajajiHv jimbo gani limekaa kizembe zembe na mie nikachukue form hata vijijini ha haaa
Aahh hapo pa moto....Chato
Wanaofanikiwa sikuzote ni wale wanaotake riskAnapoteza mda wake,hata ccm akipita kwa lema havuki,sema akili hana angekuwa na akili hata asingehangaika maana akiukosa huo ubunge ni aibu mno
Yupo nani pale naweza kung'oa mtu pale....Muleba Kusini
Mama Tibaijuka kashasema hachukui fomuYupo nani pale naweza kung'oa mtu pale....