Mrisho Gambo ameonewa kwa makosa ya wengine

Mrisho Gambo ameonewa kwa makosa ya wengine

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2015
Posts
2,577
Reaction score
4,637
Na watanzania walivyo wanafki... Wanashangilia tu na kumpongeza rais kwa kumtumbua...

Tuseme ukweli tu jamaa alikuwa bonge la mchapakazi na mbunifu.. .

Katika mazingira yoyote huwezi shirikiana na jitu linalokudharau kwa kibri tu. .. Bila kujali nafasi uliyo nayo wala haiheshimu...

Mtu kama mkurugenzi wa jiji anahitaji kufanya kazi hand to hand namkuu wa mkoa ili maendeleo yafike.. .

Lakini wao kumtambia kuwa wao nao wateule wa rais na kutomheshimu mkubwa wao waliopangwa nae. ..

TUACHE UNAFKI WABONGO.. .

Hata kama ingekuwa wewe USINGEWEZA KUFANYA KAZI NA JITU LINALOJIMWAMBAFY ASIYEKUHESHIMU CHEO CHAKO WALA UTU WAKO...

USHIRIKIANO UPI ANAOKUSUDIA RAIS ZAIDI YA WALE WADOGO KUMHESHIMU MKUBWA WAO NA KUSEMA NAE KWA HESHIMA HATA KATIKA KUMSHAURI ANAPOKOSEA.. .

NAONA WENGI HAWAWAONI WALE WENGINE KWA KUWA MNAWAOGOPA KWA KUWA NI USALAMA WA TAIFA...
 
Na watanzania walivyo wanafki... Wanashangilia tu na kumpongeza rais kwa kumtumbua...

Tuseme ukweli tu jamaa alikuwa bonge la mchapakazi na mbunifu.. .

Katika mazingira yoyote huwezi shirikiana na jitu linalokudharau kwa kibri tu. .. Bila kujali nafasi uliyo nayo wala haiheshimu...

Mtu kama mkurugenzi wa jiji anahitaji kufanya kazi hand to hand namkuu wa mkoa ili maendeleo yafike.. .

Lakini wao kumtambia kuwa wao nao wateule wa rais na kutomheshimu mkubwa wao waliopangwa nae. ..

TUACHE UNAFKI WABONGO.. .

Hata kama ingekuwa wewe USINGEWEZA KUFANYA KAZI NA JITU LINALOJIMWAMBAFY ASIYEKUHESHIMU CHEO CHAKO WALA UTU WAKO...

USHIRIKIANO UPI ANAOKUSUDIA RAIS ZAIDI YA WALE WADOGO KUMHESHIMU MKUBWA WAO NA KUSEMA NAE KWA HESHIMA HATA KATIKA KUMSHAURI ANAPOKOSEA.. .

NAONA WENGI HAWAWAONI WALE WENGINE KWA KUWA MNAWAOGOPA KWA KUWA NI USALAMA WA TAIFA...
Fuatilia alikowahi kufanya kazi huyo mtu wako kama aliwahi kutoka salama, au umetumwa kupima maji? Gambo muigizaji tu na hana analofanya zaidi ya Kick
 
Na watanzania walivyo wanafki... Wanashangilia tu na kumpongeza rais kwa kumtumbua...

Tuseme ukweli tu jamaa alikuwa bonge la mchapakazi na mbunifu.. .

Katika mazingira yoyote huwezi shirikiana na jitu linalokudharau kwa kibri tu. .. Bila kujali nafasi uliyo nayo wala haiheshimu...

Mtu kama mkurugenzi wa jiji anahitaji kufanya kazi hand to hand namkuu wa mkoa ili maendeleo yafike.. .

Lakini wao kumtambia kuwa wao nao wateule wa rais na kutomheshimu mkubwa wao waliopangwa nae. ..

TUACHE UNAFKI WABONGO.. .

Hata kama ingekuwa wewe USINGEWEZA KUFANYA KAZI NA JITU LINALOJIMWAMBAFY ASIYEKUHESHIMU CHEO CHAKO WALA UTU WAKO...

USHIRIKIANO UPI ANAOKUSUDIA RAIS ZAIDI YA WALE WADOGO KUMHESHIMU MKUBWA WAO NA KUSEMA NAE KWA HESHIMA HATA KATIKA KUMSHAURI ANAPOKOSEA.. .

NAONA WENGI HAWAWAONI WALE WENGINE KWA KUWA MNAWAOGOPA KWA KUWA NI USALAMA WA TAIFA...
CCM WOTE NI WAFITINI,ACHA WAFITINIANE SINA HURUMA NA MWANACCM YEYOTE
 
Gambo ana matatizo mawili, ujana na kiburi.

Huwezi kuvaa kofia ndani ya kikao kinachoongozwa na waziri ambaye ni bosi wako, huo ni ujana.

Anapenda kudhalilisha watu hadharani, hicho ni kiburi.
 
Na watanzania walivyo wanafki... Wanashangilia tu na kumpongeza rais kwa kumtumbua...

Tuseme ukweli tu jamaa alikuwa bonge la mchapakazi na mbunifu.. .

Katika mazingira yoyote huwezi shirikiana na jitu linalokudharau kwa kibri tu. .. Bila kujali nafasi uliyo nayo wala haiheshimu...

Mtu kama mkurugenzi wa jiji anahitaji kufanya kazi hand to hand namkuu wa mkoa ili maendeleo yafike.. .

Lakini wao kumtambia kuwa wao nao wateule wa rais na kutomheshimu mkubwa wao waliopangwa nae. ..

TUACHE UNAFKI WABONGO.. .

Hata kama ingekuwa wewe USINGEWEZA KUFANYA KAZI NA JITU LINALOJIMWAMBAFY ASIYEKUHESHIMU CHEO CHAKO WALA UTU WAKO...

USHIRIKIANO UPI ANAOKUSUDIA RAIS ZAIDI YA WALE WADOGO KUMHESHIMU MKUBWA WAO NA KUSEMA NAE KWA HESHIMA HATA KATIKA KUMSHAURI ANAPOKOSEA.. .

NAONA WENGI HAWAWAONI WALE WENGINE KWA KUWA MNAWAOGOPA KWA KUWA NI USALAMA WA TAIFA...
Gambo ni Ndumilakuwili!
 
… kudhalilisha watu hadharan ni kosa awamu hii?…

Kuingia na ule mkofia kweli alikosea na pengine imechochea Rais kupewa mengi negative ya Gambo

Kwann haikufanywa rotation kwa muda wote kama wote walikuwa hawapaptan?

Gambo ana matatizo mawili, ujana na kiburi.

Huwezi kuvaa kofia ndani ya kikao kinachoongozwa na waziri ambaye ni bosi wako, huo ni ujana.

Anapenda kudhalilisha watu hadharani, hicho ni kiburi.
 
Fuatilia alikowahi kufanya kazi huyo mtu wako kama aliwahi kutoka salama, au umetumwa kupima maji? Gambo muigizaji tu na hana analofanya zaidi ya Kick
Kuna muigizaji na mzee wa kiki kama Bashite?

Gambo kilichomponza ni kutokuwa msukuma.
 
Na watanzania walivyo wanafki... Wanashangilia tu na kumpongeza rais kwa kumtumbua...

Tuseme ukweli tu jamaa alikuwa bonge la mchapakazi na mbunifu.. .

Katika mazingira yoyote huwezi shirikiana na jitu linalokudharau kwa kibri tu. .. Bila kujali nafasi uliyo nayo wala haiheshimu...

Mtu kama mkurugenzi wa jiji anahitaji kufanya kazi hand to hand namkuu wa mkoa ili maendeleo yafike.. .

Lakini wao kumtambia kuwa wao nao wateule wa rais na kutomheshimu mkubwa wao waliopangwa nae. ..

TUACHE UNAFKI WABONGO.. .

Hata kama ingekuwa wewe USINGEWEZA KUFANYA KAZI NA JITU LINALOJIMWAMBAFY ASIYEKUHESHIMU CHEO CHAKO WALA UTU WAKO...

USHIRIKIANO UPI ANAOKUSUDIA RAIS ZAIDI YA WALE WADOGO KUMHESHIMU MKUBWA WAO NA KUSEMA NAE KWA HESHIMA HATA KATIKA KUMSHAURI ANAPOKOSEA.. .

NAONA WENGI HAWAWAONI WALE WENGINE KWA KUWA MNAWAOGOPA KWA KUWA NI USALAMA WA TAIFA...

Karibia sehemu zote alizowahi Kufanya Kazi aliboronga tena huko Korogwe ndiyo alitaka hadi Kupigwa na Wananchi sasa Uchapakazi upo wapi?
 
Na watanzania walivyo wanafki... Wanashangilia tu na kumpongeza rais kwa kumtumbua...

Tuseme ukweli tu jamaa alikuwa bonge la mchapakazi na mbunifu.. .

Katika mazingira yoyote huwezi shirikiana na jitu linalokudharau kwa kibri tu. .. Bila kujali nafasi uliyo nayo wala haiheshimu...

Mtu kama mkurugenzi wa jiji anahitaji kufanya kazi hand to hand namkuu wa mkoa ili maendeleo yafike.. .

Lakini wao kumtambia kuwa wao nao wateule wa rais na kutomheshimu mkubwa wao waliopangwa nae. ..

TUACHE UNAFKI WABONGO.. .

Hata kama ingekuwa wewe USINGEWEZA KUFANYA KAZI NA JITU LINALOJIMWAMBAFY ASIYEKUHESHIMU CHEO CHAKO WALA UTU WAKO...

USHIRIKIANO UPI ANAOKUSUDIA RAIS ZAIDI YA WALE WADOGO KUMHESHIMU MKUBWA WAO NA KUSEMA NAE KWA HESHIMA HATA KATIKA KUMSHAURI ANAPOKOSEA.. .

NAONA WENGI HAWAWAONI WALE WENGINE KWA KUWA MNAWAOGOPA KWA KUWA NI USALAMA WA TAIFA...
Hiyo troupe yao bado wawili wa kujiona miungu watu hajaonewa wala nn amevuna alichopanda na apoteane mazima
 
Na watanzania walivyo wanafki... Wanashangilia tu na kumpongeza rais kwa kumtumbua...

Tuseme ukweli tu jamaa alikuwa bonge la mchapakazi na mbunifu.. .

Katika mazingira yoyote huwezi shirikiana na jitu linalokudharau kwa kibri tu. .. Bila kujali nafasi uliyo nayo wala haiheshimu...

Mtu kama mkurugenzi wa jiji anahitaji kufanya kazi hand to hand namkuu wa mkoa ili maendeleo yafike.. .

Lakini wao kumtambia kuwa wao nao wateule wa rais na kutomheshimu mkubwa wao waliopangwa nae. ..

TUACHE UNAFKI WABONGO.. .

Hata kama ingekuwa wewe USINGEWEZA KUFANYA KAZI NA JITU LINALOJIMWAMBAFY ASIYEKUHESHIMU CHEO CHAKO WALA UTU WAKO...

USHIRIKIANO UPI ANAOKUSUDIA RAIS ZAIDI YA WALE WADOGO KUMHESHIMU MKUBWA WAO NA KUSEMA NAE KWA HESHIMA HATA KATIKA KUMSHAURI ANAPOKOSEA.. .

NAONA WENGI HAWAWAONI WALE WENGINE KWA KUWA MNAWAOGOPA KWA KUWA NI USALAMA WA TAIFA...
Sawa Gambo
 


Sakata la stand kwa mujibu wa mkurugenzi



Majibu ya Gambo; nakubaliana na mleta mada dogo kaonewa na kikubwa watu aliopewa kufanya nao kazi walikuwa wanataka kumu undermine.
 
Back
Top Bottom