Pre GE2025 Mrisho Gambo atoa ufafanuzi wa million 400 za bodaboda Arusha

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Baada ya kutokea sakata la fedha za bodaboda katika jimbo la Arusha Mjini kuoneka zimeliwa na mmoja wa walitajwa ni Mbunge wa jimbo hilo Mrisho Gambo.

Soma Pia: Arusha: RC Makonda aiagiza TAKUKURU kumhoji Mrisho Gambo upotevu wa Tsh. Milioni 400 zilizochangwa na wadau kwa ajili ya kusaidia bodaboda

Baada hayo yote amejitokeza na kutolea ufafanuzi. Tulikubaliana, hizo hela niliyetafuta ni mimi ningekuwa na shida nazo ningezimaliza juu kwa juu na zisingewafikia
Your browser is not able to display this video.
 
Waache kelele, Bashite anawapa nyama choma na bia sasa wanataka hela za nini?
 
Gambo na Nyamitako watatoana roho na wote ni watu wa shirki.
 
Gambo naye kapata mtu, amejaa majivuno, dharau, fitna, husda. Ana kibri sn anajiona yy tu ndio hujua. Aachane na Arusha afanye mambo mengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…