Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Mrisho Gambo, amesema kauli ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ya "No Reform, No Election" inaonesha dalili za woga, akisisitiza kuwa CCM ina uzoefu wa kushinda hata pale upinzani unapogomea uchaguzi.
Akizungumza Februari 4, 2025, katika maadhimisho ya miaka 48 ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Arusha, yaliyofanyika katika kata ya Akeri, wilayani Arumeru, Gambo alisema:
"Wenzetu wa CHADEMA wanasema 'No Reform, No Election'. Hiyo ni dalili ya woga. Tunataka tuwakumbushe kuwa sisi tuna uzoefu, tushapita Kamati Kuu. Wakisusa, sisi twala."
Akizungumza Februari 4, 2025, katika maadhimisho ya miaka 48 ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Arusha, yaliyofanyika katika kata ya Akeri, wilayani Arumeru, Gambo alisema:
"Wenzetu wa CHADEMA wanasema 'No Reform, No Election'. Hiyo ni dalili ya woga. Tunataka tuwakumbushe kuwa sisi tuna uzoefu, tushapita Kamati Kuu. Wakisusa, sisi twala."