Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wote ni Wapiga Kura
Mtaa kwa Mtaa
Nyumba kwa nyumba
Chumba kwa Chumba
Hadi kieleweke
Mtaa kwa Mtaa
Nyumba kwa nyumba
Chumba kwa Chumba
Hadi kieleweke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimempenda bure Gambo japokuwa hapa Arusha nampa kura yangu LemaWote ni Wapiga Kura
Mtaa kwa Mtaa
Nyumba kwa nyumba
Chumba kwa Chumba
Hadi kieleweke
View attachment 1584553View attachment 1584554View attachment 1584555
Duh nina mwaka sasa sijawahi kut....omb mademu wa hapo maana hapo wanakuwaga wale makonki ambau hujiuza usiku na mchana wamechoka mbayaWaende na mrina kwa machangudoa wawahudumie
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]nisamehe nimekukumbushaDuh nina mwaka sasa sijawahi kut....omb mademu wa hapo maana hapo wanakuwaga wale makonki ambau hujiuza usiku na mchana wamechoka mbaya
Sana mkuu halafu malaya wengi wamekuja wapya halafu hamna kitu bora kidogo XO[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]nisamehe nimekukumbusha
Labda kwa msaada wa Wilson MaheraNitakuja ku update huu uzi baada ya tarehe 28 mrisho gambo anashinda
Watu wa Arusha wakimchagua Mrisho Gambo , basi nitaamini tz nzima hakuna watu wanaoweza kujigamba kwamba wameerevuka isipokuwa wote wapumbavu tu.Kipindi ni RC alikuwa anawatembelea?.Watanzania nao wajiongeze,Mwenye macho haambiwi tazama.
Asihangaike ,asipotezee hela zake arusha asahau kabisa
Asonge mbele kwenda wapi? Mbona Matejoo alipokuwa anatuma mapolisi kila siku kwenda kuwapiga na kuwakamata hajafika akawaunge mkono wauza mirungi na wanywa Gongo. Arusha ngumu Mjomba sio ya kichwa kichwa.Songa mbele Gambo