Uchaguzi 2020 Mrisho Gambo hana utani na Ubunge, awatembelea wapiga kura ambao ni wanywaji wa mbege!

Uchaguzi 2020 Mrisho Gambo hana utani na Ubunge, awatembelea wapiga kura ambao ni wanywaji wa mbege!

Asonge mbele kwenda wapi? Mbona Matejoo alipokuwa anatuma mapolisi kila siku kwenda kuwapiga na kuwakamata hajafika akawaunge mkono wauza mirungi na wanywa Gongo. Arusha ngumu Mjomba sio ya kichwa kichwa.
Tena Leo kajipenswkwza kupiga picha na Lema,amvizia siku nyingi ili wakutane naye na apige picha,anadhani ni bahati kupiha picha na Lema.Ande kwao pwani akasubili viti maalumu japo mzee alishamtumbua.
 
Hivi kwani hio arusha imeandikiwa lema tuu ama
Na Kama huyo lema ni wa muhumu na bora hapo arusha kwa nini arusha sio bora kuliko sehemu nyingine yoyote hapa tz?
 
Yaani kafuata staili ya Hussein Mwinyi , baada ya kukosa watu kwenye mikutano yake ndio anajidai eti kufanya kampeni ya nyumba kwa nyumba mmechemka sisi tunawachora tu .
 
Back
Top Bottom