Uchaguzi 2020 Mrisho Gambo hana utani na Ubunge, awatembelea wapiga kura ambao ni wanywaji wa mbege!

Nitakuja ku update huu uzi baada ya tarehe 28 mrisho gambo anashinda
 
Haina shida, ndo sera zao hao, wengine nimeona wanaosha masufuria, wengina wanachambua mchele wengine wanasaidia kubeba masufuria ya mamalishe, wengine wanaosha wadada kucha. hizi kampeni ziongezwe muda tutashuhudia vituko vya kutosha
 
Asihangaike ,asipotezee hela zake arusha asahau kabisa
 
Duh nina mwaka sasa sijawahi kut....omb mademu wa hapo maana hapo wanakuwaga wale makonki ambau hujiuza usiku na mchana wamechoka mbaya
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]nisamehe nimekukumbusha
 
Asihangaike ,asipotezee hela zake arusha asahau kabisa

Angekuwa na akili angekwenda gombea kwao ILALA pengine angebahatisha kumuondoa Zungu!!! Hapo kwa Lema amekwaa kisiki cha mpingo!!!
 
Songa mbele Gambo
Asonge mbele kwenda wapi? Mbona Matejoo alipokuwa anatuma mapolisi kila siku kwenda kuwapiga na kuwakamata hajafika akawaunge mkono wauza mirungi na wanywa Gongo. Arusha ngumu Mjomba sio ya kichwa kichwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…