Uvccm mfuu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2024
- 453
- 492
Yani lema kujiunga ccm mpaka asaidiwe na gambo ni mpumbavu pekee anayeweza kuamini hivyo.Lema ni mjanja mjanja tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani lema kujiunga ccm mpaka asaidiwe na gambo ni mpumbavu pekee anayeweza kuamini hivyo.Lema ni mjanja mjanja tu
Kupitia siasa chafu za SACCOSLema ni mjanja mjanja tu
Yaani kujiunga ccm ni lazima ukaombewe na mtu? Hicho chama kinachopita kulazimisha hadi wanafunzi wajiunge nacho ndio cha kusubiri hadi Gambo akuombee? Makonda amekwenda Arusha na amshaamsha zake, lakini linapokuja suala siasa hao wananchi ni waelewa na wanamsimamo.Ni sawa tu wala sioni ajabu juu ya hayo
Hawa wanasiasa wengi wamejawa hofu ya nini watakula
Kwa maana hiyo wanakuwa tayari hata kuabudu mizimu ili wale
Lema kuomba aingizwe ccm ni sawa tu na simlaumu, Jambo lingine ambalo wengi wanaliona ni la kawaida ilihali linaumiza mioyo ya viongozi wa Chadema na wagombea wa majimbo ya Arusha, ni amsha amsha ya Paul Makonda
Jambo hili kulikataa kabisa kuwa si tishio kwa ukanda huo dhidi ya Chadema, ni kujitia moyo ili maisha yaendelee
You are right. Yaani Lema atake kujiunga CCM, halafu amfuate Gambo amsaidie. Kama ni ombi, Lema angefuata watu wakubwa kama kina Bashiru na na siyo Gambo.My gut feeling: CCM cadres are congenitally liars: full stop.
Kwao kusema uongo si dhambi
If you believe on this then you will believe in everything
Anatafuta namna ya kusikika. Yeye na Bashite kwanza haziivi. Mwakani ana hali ngumu sana.Gambo anadhani kwa kutengeneza hadithi kama hizo zitamsaidia mwakani!! Amekosa akili na maarifa. Lema akitaka kwenda CCM, huko CCM itakuwa sherehe kubwa. Wala hamhitaji Gambo amsaidie. Gambo ana nini cha maana huko CCM? Mbona mwakani uwezekano mkubwa anatupwa nje, na hakuna atakachoweza kufanya ndani ya CCM?
Sasa za kipumbavu sana!Gambo anatapatapa, anajuà 2025 hàña jimbo tena. Lema akitàka kwendà CCM hata mama yupo tàyari kumpokea wakati wowote.