Pre GE2025 Mrisho Gambo: Lema aliniomba nimsaidie kuingia CCM

Pre GE2025 Mrisho Gambo: Lema aliniomba nimsaidie kuingia CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Anaongea ongea kama mtoto wa kike na vimikono vyake. Bwana Gambo hii siasa nyepesi sana rudi studio ukajipange upya
 
Ni sawa tu wala sioni ajabu juu ya hayo

Hawa wanasiasa wengi wamejawa hofu ya nini watakula

Kwa maana hiyo wanakuwa tayari hata kuabudu mizimu ili wale

Lema kuomba aingizwe ccm ni sawa tu na simlaumu, Jambo lingine ambalo wengi wanaliona ni la kawaida ilihali linaumiza mioyo ya viongozi wa Chadema na wagombea wa majimbo ya Arusha, ni amsha amsha ya Paul Makonda

Jambo hili kulikataa kabisa kuwa si tishio kwa ukanda huo dhidi ya Chadema, ni kujitia moyo ili maisha yaendelee
Yaani kujiunga ccm ni lazima ukaombewe na mtu? Hicho chama kinachopita kulazimisha hadi wanafunzi wajiunge nacho ndio cha kusubiri hadi Gambo akuombee? Makonda amekwenda Arusha na amshaamsha zake, lakini linapokuja suala siasa hao wananchi ni waelewa na wanamsimamo.
 
My gut feeling: CCM cadres are congenitally liars: full stop.

Kwao kusema uongo si dhambi

If you believe on this then you will believe in everything
You are right. Yaani Lema atake kujiunga CCM, halafu amfuate Gambo amsaidie. Kama ni ombi, Lema angefuata watu wakubwa kama kina Bashiru na na siyo Gambo.
 
Gambo anadhani kwa kutengeneza hadithi kama hizo zitamsaidia mwakani!! Amekosa akili na maarifa. Lema akitaka kwenda CCM, huko CCM itakuwa sherehe kubwa. Wala hamhitaji Gambo amsaidie. Gambo ana nini cha maana huko CCM? Mbona mwakani uwezekano mkubwa anatupwa nje, na hakuna atakachoweza kufanya ndani ya CCM?
Anatafuta namna ya kusikika. Yeye na Bashite kwanza haziivi. Mwakani ana hali ngumu sana.
 
Gambo apambane na hali ya kutokupendwa CCM Arusha. Asisumbue watu kwa matatizo yake
 
Back
Top Bottom