Mrisho Gambo: Mabadiliko ya kanuni Soko la Tanzanite mwaka 2019 yameipatia Serikali hasara kubwa sana

Mrisho Gambo: Mabadiliko ya kanuni Soko la Tanzanite mwaka 2019 yameipatia Serikali hasara kubwa sana

Magazetini

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
593
Reaction score
1,712
Akichangia bajeti ya waziri mkuu, mbunge wa Arusha mjini, Mrisho Gambo ameongelea sekta ya madini ikiwemo mabadiliko yaliyopelekea kuhamisha soko la madini kutoka Arusha kwenda Mirerani na hasara yake kwa Serikali na mji wa Arusha.

Mrisho Gambo: Mwaka 2019 tulianzisha masoko ya madini, Arusha lilikuwepo, Mererani na maeneo mengine. Tanzanite ambayo inapatikana Tanzania hairuhusiwi kwenda kuuzwa kwenye soko la Arusha.

Maamuzi ya kubadilisha kanuni yameipatia Serikali hasara kubwa sana. Baada ya kuhamishia Mirerani, ukiangalia kipindi kile kile cha July 21 hadi Januari, Serikali imepata kodi kiasi cha milioni 339 kutoka bilioni 1.3, tuweza kuwa na caret elfu 15 kutoka elfu 85.

Kwahiyo unaona maamuzi haya yamekwenda kuitia hasara Serikali. Arusha idadi ya dealers ilikuwa 103 leo kuna dealers 48 tu Mirerani.

TAARIFA: Napenda kumpa taarifa kwamba madini ya Tanzanite yapo mkoa wa Manyara na Serikali imeweza kujiongezea kipato tangu soko liliporejeshwa katika mji wa Mirerani.

Gambo: Ushauri wangu ni wabunge watafute hoja za kuchangia, sio tunadandia tu ilimradi tuonekane na wananchi wetu, hapa tunaongea mambo serious kwahiyo sipokei taarifa yake. Mheshimiwa spika pia kuna ajira zimepotea, ajira zaidi ya 413, mabroker zaidi ya 2,500 wamekosa ajira.
 
Akichangia bajeti ya waziri mkuu, mbunge wa Arusha mjini, Mrisho Gambo ameongelea sekta ya madini ikiwemo mabadiliko yaliyopelekea kuhamisha soko la madini kutoka Arusha kwenda Mirerani na hasara yake kwa Serikali na mji wa Arusha...
🤣🤣🤣kumbe walimpenda kwa sababu ya vyeo na pesa tu.

Wanafiki hawa mungu anawaona.
 
Inawezekana mtoa mada unatumia takwimu za jiwe maana yule mzee alikuwa kiboko kwenye kupika takwimu na propaganda.
 
Kwa nini asingemwambia mungu wa kaboud haya malalamiko yake
Kwanini huyu inzi hakusema haya wakati wa utawala wa mpendwa wao?
Unafiki wa hawa watu wa ccm huwa unaniacha hoi kila uchwao!
Nyie mateka wa propaganda za kisiasa shida sana. Someni na kuelewa kabla ya kukimbilia kukosoa sababu tu ubongo umekuwa programmed na hizo propaganda.

Gambo hajapinga sera za kuanzisha masoko zilizoletwa na JPM. Kwanza mwanzoni hakukuwa na masoko ambayo serikali ili control, kwa hiyo aliyeleta masoko ni mbunifu wa kiwango cha juu.

Kilichoongelewa ni athari za kuhamisha soko toka Arusha kwenda Mirerani(Manyara), na hili limefanyika baada ya JPM kufariki, ndiyo maana inaelezwa kuanzia Julai 2021. Kwa hiyo hayo madhara anayoyataja kama kupungua kwa kodi, mauzo, ma dealers na brokers ni kutokana na uamuzi wa kufungua soko la mirerani na kuamua madini yote yauzwe hapo tu.
 
Akichangia bajeti ya waziri mkuu, mbunge wa Arusha mjini, Mrisho Gambo ameongelea sekta ya madini ikiwemo mabadiliko yaliyopelekea kuhamisha soko la madini kutoka Arusha kwenda Mirerani na hasara yake kwa Serikali na mji wa Arusha.

Mrisho Gambo: Mwaka 2019 tulianzisha masoko ya madini, Arusha lilikuwepo, Mererani na maeneo mengine. Tanzanite ambayo inapatikana Tanzania hairuhusiwi kwenda kuuzwa kwenye soko la Arusha.

Maamuzi ya kubadilisha kanuni yameipatia Serikali hasara kubwa sana. Baada ya kuhamishia Mirerani, ukiangalia kipindi kile kile cha July 21 hadi Januari, Serikali imepata kodi kiasi cha milioni 339 kutoka bilioni 1.3, tuweza kuwa na caret elfu 15 kutoka elfu 85.

Kwahiyo unaona maamuzi haya yamekwenda kuitia hasara Serikali. Arusha idadi ya dealers ilikuwa 103 leo kuna dealers 48 tu Mirerani.

TAARIFA: Napenda kumpa taarifa kwamba madini ya Tanzanite yapo mkoa wa Manyara na Serikali imeweza kujiongezea kipato tangu soko liliporejeshwa katika mji wa Mirerani.

Gambo: Ushauri wangu ni wabunge watafute hoja za kuchangia, sio tunadandia tu ilimradi tuonekane na wananchi wetu, hapa tunaongea mambo serious kwahiyo sipokei taarifa yake. Mheshimiwa spika pia kuna ajira zimepotea, ajira zaidi ya 413, mabroker zaidi ya 2,500 wamekosa ajira.
Akichangia bajeti ya waziri mkuu, mbunge wa Arusha mjini, Mrisho Gambo ameongelea sekta ya madini ikiwemo mabadiliko yaliyopelekea kuhamisha soko la madini kutoka Arusha kwenda Mirerani na hasara yake kwa Serikali na mji wa Arusha.

Mrisho Gambo: Mwaka 2019 tulianzisha masoko ya madini, Arusha lilikuwepo, Mererani na maeneo mengine. Tanzanite ambayo inapatikana Tanzania hairuhusiwi kwenda kuuzwa kwenye soko la Arusha.

Maamuzi ya kubadilisha kanuni yameipatia Serikali hasara kubwa sana. Baada ya kuhamishia Mirerani, ukiangalia kipindi kile kile cha July 21 hadi Januari, Serikali imepata kodi kiasi cha milioni 339 kutoka bilioni 1.3, tuweza kuwa na caret elfu 15 kutoka elfu 85.

Kwahiyo unaona maamuzi haya yamekwenda kuitia hasara Serikali. Arusha idadi ya dealers ilikuwa 103 leo kuna dealers 48 tu Mirerani.

TAARIFA: Napenda kumpa taarifa kwamba madini ya Tanzanite yapo mkoa wa Manyara na Serikali imeweza kujiongezea kipato tangu soko liliporejeshwa katika mji wa Mirerani.

Gambo: Ushauri wangu ni wabunge watafute hoja za kuchangia, sio tunadandia tu ilimradi tuonekane na wananchi wetu, hapa tunaongea mambo serious kwahiyo sipokei taarifa yake. Mheshimiwa spika pia kuna ajira zimepotea, ajira zaidi ya 413, mabroker zaidi ya 2,500 wamekosa ajira.
Hawa wanafiki mbona walikuwa hawaongei kipindi cha Magu!?!? Wapwbv
 
^yameipatia serikali hasara^

YAMEISABABISHIA SERIKALI HASARA
YAMEIPATIA SERIKALI FAIDA
 
Back
Top Bottom