Mrisho Gambo, Mpeleke Mahakamani basi unayemshikilia

Mrisho Gambo, Mpeleke Mahakamani basi unayemshikilia

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Ukiona mama analia mmewe amekamatwa siku ya 7 leo kwa amri ya mkuu wa mkoa Arusha wakati makosa yake hayajulikani ni jambo la kuhoji naomba sana Mrisho Gambo mpeleke mahakamani huyo kada wa ccm apo Arusha unayeshikiliwa bila kujua hatima yake wakati OCD anasema ni maagizo yako.
 
Ukiona mama analia mmewe amekamatwa siku ya 7 leo kwa amri ya mkuu wa mkoa Arusha wakati makosa yake hayajulikani ni jambo la kuhoji naomba sana Mrisho Gambo mpeleke mahakamani huyo kada wa ccm apo Arusha unayeshikiliwa bila kujua hatima yake wakati OCD anasema ni maagizo yako.
Acha wapambane wenyewe.

Sent using iphone pro max
 
Kuheshimu sheria,katiba na utu wa mtu ni muhimu sana. Chama ni kikundi tu kama nguo unaweza kuivua ukihisi inakubana.
 
Ukiona mama analia mmewe amekamatwa siku ya 7 leo kwa amri ya mkuu wa mkoa Arusha wakati makosa yake hayajulikani ni jambo la kuhoji naomba sana Mrisho Gambo mpeleke mahakamani huyo kada wa ccm apo Arusha unayeshikiliwa bila kujua hatima yake wakati OCD anasema ni maagizo yako.
HUu NDIO UPUUZI WA CHAMA CHENU CHA HAKI ZA BINANYAMU WAKIONAA NANII ANASHIKILIWA HAOO WAANDIKWE WAMETETEA WAKIONA WATU KAMA HAWA UWASIKIII USHENZI NTUPU
 
Hapana kwenye haki lazima tusimame pamoja hata kama anayeshikiliwa ni kada wa CCM naye ana haki zake.
 
Dogo anaota pembe sasa.. Akumbuke kuna maisha nje ya siasa.. Nje ya uongozi
Ukiona mama analia mmewe amekamatwa siku ya 7 leo kwa amri ya mkuu wa mkoa Arusha wakati makosa yake hayajulikani ni jambo la kuhoji naomba sana Mrisho Gambo mpeleke mahakamani huyo kada wa ccm apo Arusha unayeshikiliwa bila kujua hatima yake wakati OCD anasema ni maagizo yako.

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom