Mshumaa_Tz
JF-Expert Member
- Mar 20, 2020
- 681
- 2,501
Mrisho Gamba Hugo kada wa chama cha mataga , naomba usimwachie ...makada wa ccm wamezid ubakaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha basi tumia tafsida!Yupi huyo tena!Ni yule kiongozi wa ccm aliyembaka mwanaye ?
Na mimi nataka kuwa verified member nifanyeje!Huwa sigombani humu lakini hawanipi!Amen
Tuma tu details zako kamili kwa ndugu ActiveNa mimi nataka kuwa verified member nifanyeje!Huwa sigombani humu lakini hawanipi!
Jina langu halisi na email adress au nifafanulie tafadhali na huyo active namuomba au usikwazike na maswali yangu!Tuma tu details zako kamili kwa ndugu Active
Huwa sikwaziki na maswali Ndugu, scan kitambulisho chako then kitume kwa Active au ile email ya support, nadhani itapatikana chini mwa thread Kabisa pale kwenye contactJina langu halisi na email adress au nifafanulie tafadhali na huyo active namuomba au usikwazike na maswali yangu!
Kisha kitume kwa email hiiJina langu halisi na email adress au nifafanulie tafadhali na huyo active namuomba au usikwazike na maswali yangu!
Poa!Huwa sikwaziki na maswali Ndugu, scan kitambulisho chako then kitume kwa Active au ile email ya support, nadhani itapatikana chini mwa thread Kabisa pale kwenye contact
Aisee....ni ujinga 'ntupu' tehHUu NDIO UPUUZI WA CHAMA CHENU CHA HAKI ZA BINANYAMU WAKIONAA NANII ANASHIKILIWA HAOO WAANDIKWE WAMETETEA WAKIONA WATU KAMA HAWA UWASIKIII USHENZI NTUPU
Mambo haya yanachanganya sana,kuna tetesi kwamba hajamshikilia bali amemhifadhi
Mkuu si uende pale ofisini kwake ukamwambiw!Ukiona mama analia mmewe amekamatwa siku ya 7 leo kwa amri ya mkuu wa mkoa Arusha wakati makosa yake hayajulikani ni jambo la kuhoji naomba sana Mrisho Gambo mpeleke mahakamani huyo kada wa ccm apo Arusha unayeshikiliwa bila kujua hatima yake wakati OCD anasema ni maagizo yako.
Nashauri huyo kada wa CCM apewe kesi ya uhujumu uchumi kama tito magoti na theoUkiona mama analia mmewe amekamatwa siku ya 7 leo kwa amri ya mkuu wa mkoa Arusha wakati makosa yake hayajulikani ni jambo la kuhoji naomba sana Mrisho Gambo mpeleke mahakamani huyo kada wa ccm apo Arusha unayeshikiliwa bila kujua hatima yake wakati OCD anasema ni maagizo yako.