technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Acha wapambane wenyewe.Ukiona mama analia mmewe amekamatwa siku ya 7 leo kwa amri ya mkuu wa mkoa Arusha wakati makosa yake hayajulikani ni jambo la kuhoji naomba sana Mrisho Gambo mpeleke mahakamani huyo kada wa ccm apo Arusha unayeshikiliwa bila kujua hatima yake wakati OCD anasema ni maagizo yako.
Huyu anae shikiliwa huenda ni yule alie yoa siri za Rc kutumi hela za umma kuhonga wajumbe wa CcmMh!! Kada wa fisiemu ameshikiliwa??? Ni bongo hii hii nayoijua mmi au ni wap? Na kama ni bongo gambo anakipenda kibarua chakee???
HUu NDIO UPUUZI WA CHAMA CHENU CHA HAKI ZA BINANYAMU WAKIONAA NANII ANASHIKILIWA HAOO WAANDIKWE WAMETETEA WAKIONA WATU KAMA HAWA UWASIKIII USHENZI NTUPUUkiona mama analia mmewe amekamatwa siku ya 7 leo kwa amri ya mkuu wa mkoa Arusha wakati makosa yake hayajulikani ni jambo la kuhoji naomba sana Mrisho Gambo mpeleke mahakamani huyo kada wa ccm apo Arusha unayeshikiliwa bila kujua hatima yake wakati OCD anasema ni maagizo yako.
AmenKama ni wa ccm abaki huko huko, wafu wanazika wafu wao.
kuna tetesi kwamba hajamshikilia bali amemhifadhiSheria msumeno
hujui kitu wewe nyamaza !HUu NDIO UPUUZI WA CHAMA CHENU CHA HAKI ZA BINANYAMU WAKIONAA NANII ANASHIKILIWA HAOO WAANDIKWE WAMETETEA WAKIONA WATU KAMA HAWA UWASIKIII USHENZI NTUPU
!!!!!!!!!??????? .... !!!!!!!!!??????HUu NDIO UPUUZI WA CHAMA CHENU CHA HAKI ZA BINANYAMU WAKIONAA NANII ANASHIKILIWA HAOO WAANDIKWE WAMETETEA WAKIONA WATU KAMA HAWA UWASIKIII USHENZI NTUPU
Ukiona mama analia mmewe amekamatwa siku ya 7 leo kwa amri ya mkuu wa mkoa Arusha wakati makosa yake hayajulikani ni jambo la kuhoji naomba sana Mrisho Gambo mpeleke mahakamani huyo kada wa ccm apo Arusha unayeshikiliwa bila kujua hatima yake wakati OCD anasema ni maagizo yako.
Nimemshangaa sanaa mpwaa nakumbuka alipotokea dah 40inamsubiri Mungu adhIhakiwiDogo anaota pembe sasa.. Akumbuke kuna maisha nje ya siasa.. Nje ya uongozi
Jr[emoji769]
angekuwaaa..... Kakamatwaa sikusabaa unasikia mawakili maarufu HAOO... Mara cha cha haki za..... Haooosiku saba bila kupelekwa mahakaman!?
Acha wafu wazikane