Mrisho Gambo, Mpeleke Mahakamani basi unayemshikilia

Mrisho Gamba Hugo kada wa chama cha mataga , naomba usimwachie ...makada wa ccm wamezid ubakaji.
 
Duh! Jamaa halafu anaumwa kisukali ajanywa dawa wiki sasa
 
Jina langu halisi na email adress au nifafanulie tafadhali na huyo active namuomba au usikwazike na maswali yangu!
Huwa sikwaziki na maswali Ndugu, scan kitambulisho chako then kitume kwa Active au ile email ya support, nadhani itapatikana chini mwa thread Kabisa pale kwenye contact
 
Mkuu si uende pale ofisini kwake ukamwambiw!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashauri huyo kada wa CCM apewe kesi ya uhujumu uchumi kama tito magoti na theo

Sent using Soviet T-72 Main Battle Tank
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…