ESCORT 1
JF-Expert Member
- Dec 7, 2015
- 1,412
- 3,043
Ni wazi sasa Mrisho Gambo ameanza kuchachawa na kukumbuka shuka kukiwa kunakucha.
Ameng’aka bungeni dhidi ya serikali kwa kuhoji kuwa ataenda kuwaambia nini wapiga kura wake wa Arusha mjini kwa Jiji kubwa la Arusha kukosa stendi bora na ya kisasa kama mikoa mingine.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Siku zote hizo alikuwa wapi? Anaona uchaguzi unakaribia anaanza kutoa mapovu na kutia huruma.
Hakika Gambo ni kama ameanza kutapatapa na kwa ushauri mzuri, atafute kazi nyingine tu ya kufanya! Bashite kashammaliza
Ameng’aka bungeni dhidi ya serikali kwa kuhoji kuwa ataenda kuwaambia nini wapiga kura wake wa Arusha mjini kwa Jiji kubwa la Arusha kukosa stendi bora na ya kisasa kama mikoa mingine.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Siku zote hizo alikuwa wapi? Anaona uchaguzi unakaribia anaanza kutoa mapovu na kutia huruma.
Hakika Gambo ni kama ameanza kutapatapa na kwa ushauri mzuri, atafute kazi nyingine tu ya kufanya! Bashite kashammaliza