Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Ahahahahaha!Mkuu, wakati wa Lema iliyo kuwepo tena ya ghorofa ilikidhi haja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahahaha!Mkuu, wakati wa Lema iliyo kuwepo tena ya ghorofa ilikidhi haja.
Wenye nchi wamegoma kujengaGeneva ya Africa bado wanatumia stand ya mwaka 47
Wajibu kama nyie tayari mmeshashinda na tena sii kwa bunduki,ila kwa kula.Ni wazi sasa Mrisho Gambo ameanza kuchachawa na kukumbuka shuka kukiwa kunakucha.
Ameng’aka bungeni dhidi ya serikali kwa kuhoji kuwa ataenda kuwaambia nini wapiga kura wake wa Arusha mjini kwa Jiji kubwa la Arusha kukosa stendi bora na ya kisasa kama mikoa mingine.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Siku zote hizo alikuwa wapi? Anaona uchaguzi unakaribia anaanza kutoa mapovu na kutia huruma.
Hakika Gambo ni kama ameanza kutapatapa na kwa ushauri mzuri, atafute kazi nyingine tu ya kufanya! Bashite kashammaliza
Huyo Gambo aache siasa za kitapeli, maendeleo hayaletwi na mbunge balo wananchi kupitia kodi zao, serekali ndio inawajibika kujenga stand kutoka kwenye kodi za wananchi. Isitoshe hakuna mwananchi anasubiri aelezwe kitu na Gambo maana ni mmbunge wa Magufuli na sio wananchi.Lema aliwajengea stendi alipokuwa Mbunge wenu?
Wasingekuwa smart dhalimu magu angeauliwa hapa nchini.Smart wa Chadema ndio hao wakimbizi wa kina Lema au?
Wewe ulishiriki kumuua mkuu?Wasingekuwa smart dhalimu magu angeauliwa hapa nchini.
Sina roho chafu kama ya dhalimu magu.Wewe ulishiriki kumuua mkuu?
Nilishakuambia dhalimu ni mama yako mzazi.Sina roho chafu kama ya dhalimu magu.
Yaani hata sijui umeandika nini!Huyo Gambo aache siasa za kitapeli, maendeleo hayaletwi na mbunge balo wananchi kupitia kodi zao, serekali ndio inawajibika kujenga stand kutoka kwenye kodi za wananchi. Isitoshe hakuna mwananchi anasubiri aelezwe kitu na Gambo maana ni mmbunge wa Magufuli na sio wananchi.
Moshi stand yao mpya nayo danadana nyingi, mara ipo kwenye chemchem.....Arusha na Kilimanjaro hawana stendi za Maana
Ungelewa ningefuta nilichoandika.Yaani hata sijui umeandika nini!
Kwani Gambo ni mbunge wa Mbeya?Siyo Arusha tuu. Mbeya kwenyewe ni aibu
Geneva ya Afrika isiyo ña stendi aibu ilioje hii....Ni wazi sasa Mrisho Gambo ameanza kuchachawa na kukumbuka shuka kukiwa kunakucha.
Ameng’aka bungeni dhidi ya serikali kwa kuhoji kuwa ataenda kuwaambia nini wapiga kura wake wa Arusha mjini kwa Jiji kubwa la Arusha kukosa stendi bora na ya kisasa kama mikoa mingine.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Siku zote hizo alikuwa wapi? Anaona uchaguzi unakaribia anaanza kutoa mapovu na kutia huruma.
Hakika Gambo ni kama ameanza kutapatapa na kwa ushauri mzuri, atafute kazi nyingine tu ya kufanya! Bashite kashammaliza
Unaumwa kinyeredi weweGambo alidhani miaka mitano ni kama miaka 50
Shauri yake, Sisi Arusha tunahitaji watu smart, na watu smart kivyovyote vile, wapo Chadema tu
Hatutaki takataka za CCM
Wapumbavu siku zote uamini kuwa wanajua kuliko wengine. Na huo ndio upumbavu wenyewe.Ungelewa ningefuta nilichoandika.
Rahisi tu.Amsingizie Lema ndiye amemkwamisha.Ni wazi sasa Mrisho Gambo ameanza kuchachawa na kukumbuka shuka kukiwa kunakucha.
Ameng’aka bungeni dhidi ya serikali kwa kuhoji kuwa ataenda kuwaambia nini wapiga kura wake wa Arusha mjini kwa Jiji kubwa la Arusha kukosa stendi bora na ya kisasa kama mikoa mingine.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Siku zote hizo alikuwa wapi? Anaona uchaguzi unakaribia anaanza kutoa mapovu na kutia huruma.
Hakika Gambo ni kama ameanza kutapatapa na kwa ushauri mzuri, atafute kazi nyingine tu ya kufanya! Bashite kashammaliza