Ni wazi sasa Mrisho Gambo ameanza kuchachawa na kukumbuka shuka kukiwa kunakucha.
Ameng’aka bungeni dhidi ya serikali kwa kuhoji kuwa ataenda kuwaambia nini wapiga kura wake wa Arusha mjini kwa Jiji kubwa la Arusha kukosa stendi bora na ya kisasa kama mikoa mingine.
Gambo ndiye chanzo kutofanyika kwa ujenzi wa hiyo stendi alafu ananyoosha kidole kwa nani?.
Wakati wa JPM pesa ilitolewa, eneo lilishapimwa na mpaka mkandarasi alishasafisha eneo, baadaye wakaanzisha mtifuano kwamba kule mbali, kumbe Gambo and Company wanataka stand ijengwe kwenye eneo lao.
Gambo ndiye chanzo kutofanyika kwa ujenzi wa hiyo stendi alafu ananyoosha kidole kwa nani?.
Wakati wa JPM pesa ilitolewa, eneo lilishapimwa na mpaka mkandarasi alishasafisha eneo, baadaye wakaanzisha mtifuano kwamba kule mbali, kumbe Gambo and Company wanataka stand ijengwe kwenye eneo lao.
Gambo ndiye chanzo kutofanyika kwa ujenzi wa hiyo stendi alafu ananyoosha kidole kwa nani?.
Wakati wa JPM pesa ilitolewa, eneo lilishapimwa na mpaka mkandarasi alishasafisha eneo, baadaye wakaanzisha mtifuano kwamba kule mbali, kumbe Gambo and Company wanataka stand ijengwe kwenye eneo lao.