Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,903
Hahahha..Nyie vijana wa Arusha mmeshampa majani yenu kijana wa kizaramo.
kweli kabisaSasa kwani uongo?
Mungu Mwenyezi unayasikia haya ya viumbe wako....Sasa kwani uongo?
Mnakufuru sasa, badala ya kurudisha Utukufu kwa Mungu nyie mnapeleka Utukufu kwa Jiwe, haya ngoja Mungu aamuru Malaika wa Mnvua aongeze kipimo Miundo Mbinu iharibike alafu tuone kama mtamkumbuka hoyo Jiwe.Sasa kwani uongo?