JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,850
Unafahamu vipi kama hakufanya lolote? Unawafahamu washiriki wa mchakato mzima mpaka tatizo likaisha?Kama alikosa huo ujasiri wakati huo, kwanini anatemea watu mate kwenye hilo bunge kibogoyo sasa wakati tatizo limeisha?
Kwa hiyo nini maana ya kiwa mkuu wa mkoa wakati boss wako anaganya Mambo ya kishetani. Kama hukubaliani na linalofanyika, jiudhuru. Huo tunauita unafiki!Kipindi akiwa Mkuu wa Mkoa asingeweza kutia neno kwenye lile sakata kwa sababu liliwahusu TRA angethubu kibarua kingeota mbawa
Unaposema shule ile imesimama na inasonga mbele unamaanisha nn? Naona km ni kauli mbili zinazopingana zenyeweWakati St. Judy inapitia matatizo juu ya madeni Hadi kufikia wanafunzi kugoma na wafanyakazi kurejeshwa nyumbani Mrisho Gambo hakusema lolote Wala akuwatetea kwa chochote. Leo hii baada ya hali kutulia anaibuka Bungeni nakuzungumza huku akijua kabisa muda wa machungu umepita na Sasa shule ile imesimama na inasonga mbele.
Tunaporuhusu Taifa liwe na watu wanoangalia zaidi familia zao nakuacha familia za wengine tunaharibu Taifa. Kama aliyoyasema bungeni yalitoka moyoni alipaswa kukemea wakati watoto wanataabika. Mgogoro umeanza akiwa mkuu wa Mkoa wa Arusha, hakuna siku alisimama kunyanyua mdomo kuwatetea, alisimama na watesi ili apate kuishi.
Tusiwe wepesi kusahau, tuwapinge watu wasio na misimamo. Tuwapinge watu walioamua kuishi kwakufundishwa Cha kusema, tuwapinge watu wanaogeuza matatizo yetu kuwa mtaji wa kisiasa. Tumkatae Mrisho Gambo tukimwelekeza kusimama nasisi kwenye shida na raha bila kujali atapoteza Nini.
Unafahamu vipi kama hakufanya lolote? Unawafahamu washiriki wa mchakato mzima mpaka tatizo likaisha?
Nakazia...shule iligoma kupeleka wanafunzi kwenda kuongeza vichwa wakati mwendazake akihutubiaNamtetea Gambo
Huu mgogoro ulianza kipindi cha kampeni baada ya shule kugoma kutoa magari ya kubeba wana CCM kwenda kwenye kampeni. Baada tu ya uchaguzi wakaona joto ya jiwe.
Hili jibu halithibitishi yeye kutokushiriki mchakato wa kujaribu kumaliza tatizo. Wamesharudishiwa hizo m500?Tatizo limeisha baada ya jiwe kuelekea motoni, na huyu mama kutokutaka hela ya dhuluma.
Alaa, kumbe!Veeeery true.
Walikataa kutoa magari na wanafunzi.
Magofool akafunga akaunti zao bila kujali watoto watakaoteseka.
Wakati tra ni waporaji na si wakusanyajiKipindi akiwa Mkuu wa Mkoa asingeweza kutia neno kwenye lile sakata kwa sababu liliwahusu TRA angethubu kibarua kingeota mbawa
Amekufa dead and burie!!!!Veeeery true.
Walikataa kutoa magari na wanafunzi.
Magofool akafunga akaunti zao bila kujali watoto watakaoteseka.
ukiwa unasonga mbele unaketi?Unaposema shule ile imesimama na inasonga mbele unamaanisha nn? Naona km ni kauli mbili zinazopingana zenyewe
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Haohao wanafiki waliompotosha mwendazake kwa nyimbo na mapambio ndio haohao wanaotaka kuonesha umma kwamba wao ndio wenye uchungu sana na nchi hii!!!Wakati St. Judy inapitia matatizo juu ya madeni Hadi kufikia wanafunzi kugoma na wafanyakazi kurejeshwa nyumbani Mrisho Gambo hakusema lolote Wala akuwatetea kwa chochote. Leo hii baada ya hali kutulia anaibuka Bungeni nakuzungumza huku akijua kabisa muda wa machungu umepita na Sasa shule ile imesimama na inasonga mbele.
Tunaporuhusu Taifa liwe na watu wanoangalia zaidi familia zao nakuacha familia za wengine tunaharibu Taifa. Kama aliyoyasema bungeni yalitoka moyoni alipaswa kukemea wakati watoto wanataabika. Mgogoro umeanza akiwa mkuu wa Mkoa wa Arusha, hakuna siku alisimama kunyanyua mdomo kuwatetea, alisimama na watesi ili apate kuishi.
Tusiwe wepesi kusahau, tuwapinge watu wasio na misimamo. Tuwapinge watu walioamua kuishi kwakufundishwa Cha kusema, tuwapinge watu wanaogeuza matatizo yetu kuwa mtaji wa kisiasa. Tumkatae Mrisho Gambo tukimwelekeza kusimama nasisi kwenye shida na raha bila kujali atapoteza nini.
Hapo huyo 'gamba' sijui gamble alikuwa chama kipi?Namtetea Gambo
Huu mgogoro ulianza kipindi cha kampeni baada ya shule kugoma kutoa magari ya kubeba wana CCM kwenda kwenye kampeni. Baada tu ya uchaguzi wakaona joto ya jiwe.
Katika laana iliyomuua Magu haraka sana ni kuifungia St. Jude. Unawezaje kufunga shule ya watoto yatima zaidi ya 800, watoto wa masikini wanaosoma bure kwa udhamini wa watu wa nje? Kisa? Shule ilikataa kutoa magari yake yatumike kubeba wana CCM kwenye kampeni huko Meru. Magufuli ni mtu mkatili sana yule jamaa, halaf muda wote alikuwa anajifanya anamtaja Mungu na kujifanya ana hofu ya Mungu wakati anawatesa mayatima! Wazazi masikini na wale walioachiwa wale watoto yatima walilia sana na kumlaani Magufuli, na huyo Gambo ambae alikuwepo Kama mgombea na anashiriki vikao vya CCM vya mkoa ambako figisu zote zilianzia, lakin aliufyata kimya.. aliona sahihi. Hivyo anyamaze, asubiri Karma imlipe.Wakati St. Judy inapitia matatizo juu ya madeni Hadi kufikia wanafunzi kugoma na wafanyakazi kurejeshwa nyumbani Mrisho Gambo hakusema lolote Wala akuwatetea kwa chochote. Leo hii baada ya hali kutulia anaibuka Bungeni nakuzungumza huku akijua kabisa muda wa machungu umepita na Sasa shule ile imesimama na inasonga mbele.
Tunaporuhusu Taifa liwe na watu wanoangalia zaidi familia zao nakuacha familia za wengine tunaharibu Taifa. Kama aliyoyasema bungeni yalitoka moyoni alipaswa kukemea wakati watoto wanataabika. Mgogoro umeanza akiwa mkuu wa Mkoa wa Arusha, hakuna siku alisimama kunyanyua mdomo kuwatetea, alisimama na watesi ili apate kuishi.
Tusiwe wepesi kusahau, tuwapinge watu wasio na misimamo. Tuwapinge watu walioamua kuishi kwakufundishwa Cha kusema, tuwapinge watu wanaogeuza matatizo yetu kuwa mtaji wa kisiasa. Tumkatae Mrisho Gambo tukimwelekeza kusimama nasisi kwenye shida na raha bila kujali atapoteza nini.
Nadhani ndio maana mtoa maada kuna sehemu amegusia suala la kuangalia maslahi ya familia binafsi/chache kuliko maslahi ya familia nyingi/jamii. Wamehangaishwa sana wale watoto kwa kweli.Sasa angesemaje mbele ya kayafa akiwa hai, kayafa hakutaka kusikia kabisa haya, by the way kayafa ana mkono asilimia nyingi ile ishu ilivyotokea, na maagizo yalikua yake kayafa, fikiria wewe ndio gambo, ungefanyaje?
Mjinga mama yakoMleta mada ni mjinga wa tra
je alizungumza chochote au ni kutafuta fadhila tuu kwa sasa?Namtetea Gambo
Huu mgogoro ulianza kipindi cha kampeni baada ya shule kugoma kutoa magari ya kubeba wana CCM kwenda kwenye kampeni. Baada tu ya uchaguzi wakaona joto ya jiwe.
Sijaelewa mkuuHuyo jamaa hata alivyokufa hakutaka hata kuondoka mwenyewe akaamua aondoke na familia ya mke na watoto wake wote, mume kabaki hajui kilichotokea..huyo ni mtu wa kawaida?
Naungana na wewe mkuuNamtetea Gambo
Huu mgogoro ulianza kipindi cha kampeni baada ya shule kugoma kutoa magari ya kubeba wana CCM kwenda kwenye kampeni. Baada tu ya uchaguzi wakaona joto ya jiwe.
Kila mmoja anamjua kuwa huyu ni kibaraka wa njaa na Tumbo lake na walio karibu nayeWakati St. Judy inapitia matatizo juu ya madeni Hadi kufikia wanafunzi kugoma na wafanyakazi kurejeshwa nyumbani Mrisho Gambo hakusema lolote Wala akuwatetea kwa chochote. Leo hii baada ya hali kutulia anaibuka Bungeni nakuzungumza huku akijua kabisa muda wa machungu umepita na Sasa shule ile imesimama na inasonga mbele.
Tunaporuhusu Taifa liwe na watu wanoangalia zaidi familia zao nakuacha familia za wengine tunaharibu Taifa. Kama aliyoyasema bungeni yalitoka moyoni alipaswa kukemea wakati watoto wanataabika. Mgogoro umeanza akiwa mkuu wa Mkoa wa Arusha, hakuna siku alisimama kunyanyua mdomo kuwatetea, alisimama na watesi ili apate kuishi.
Tusiwe wepesi kusahau, tuwapinge watu wasio na misimamo. Tuwapinge watu walioamua kuishi kwakufundishwa Cha kusema, tuwapinge watu wanaogeuza matatizo yetu kuwa mtaji wa kisiasa. Tumkatae Mrisho Gambo tukimwelekeza kusimama nasisi kwenye shida na raha bila kujali atapoteza nini.