Sijui ni uchawa au kujitoa akili.
Unasema roma,anadhani ana akili kuliko mama
Dah[emoji23][emoji23]!Ni bonge la mshamba na nguo zake rangi za vitunguu
Hapana....umeenda mbali zaidi.Gorilla
Hao ndio 'wanyonge' wa Ccm.Ndiyo Mtaji Wa Ccm Huyo Bwana Peku
Kutembea peku kuna uhusiano gani na akili??Mtu unatembea miguu peku utakuaje na akili
Hiz fiction zinawapoteza Sana, HIV unafikir mjomba anaenda chooni bila viatu, Hio ni brand. Atafanya hivyo mbele ya kamera tuUnadhani aliyegundua viatu mjinga,yeye ni balozi wa nyumba ni choo ils anaebda choo cha shimo au choo cha stendi pekupeku