mbwe
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 1,174
- 2,912
Nimewahi mshuhudia mpoto live alikujaga kitaan kwenye kampeni ya nyumba ni choo.Hiz fiction zinawapoteza Sana, HIV unafikir mjomba anaenda chooni bila viatu, Hio ni brand. Atafanya hivyo mbele ya kamera tu
Sasa akawa anaenda toliet akavaa boot zile za mvua alipotoka choon akayavua.
So kua peku ni Sanaa tu ,tofaut na watu wanavyomfikiria