Nimewahi mshuhudia mpoto live alikujaga kitaan kwenye kampeni ya nyumba ni choo.Hiz fiction zinawapoteza Sana, HIV unafikir mjomba anaenda chooni bila viatu, Hio ni brand. Atafanya hivyo mbele ya kamera tu
[emoji38]Na miblauzi yake ile.
Wanamuona akili kubwa etiWanaomwalika huwa na sababu gani za msingi?? Tunajidharaulisha sana.