Jana usiku akiwa ktk kipindi cha mikasi alikanusha madai ya Watz waishio ughaibuni kuwa ameisaliti Tz Na mlima kilimanjaro na lugha maridhawa Kiswahili. alidai kwa kua kiswahli na ml Kilimanjaro vinajulikana ni asili ya Kenya hivyo deal la kutafsiri kitab cha Shakespere (jina sikumbuki) na kuigiza kwa kiswahili mkenya naye akamtafuta mpoto. siku ya kuperfom (kwenye moja ya nchi za ulaya, jina nalo limenitoka ) alikuta ameandaliwa hotuba ikisema asili ya kisw. ni Kenya kilm nayo pia.
so mpoto alitamka hayo maneno kwa kujitetea; itifaki haikumruhusu kukana yaliyoandikwa. ndipo wabongo waliokuwepo wakamshitaki kwa serikali.mbele ya salama akiwa peku alijitapa yeye ni mzalendo halisi. EATV/m
kasi
so mpoto alitamka hayo maneno kwa kujitetea; itifaki haikumruhusu kukana yaliyoandikwa. ndipo wabongo waliokuwepo wakamshitaki kwa serikali.mbele ya salama akiwa peku alijitapa yeye ni mzalendo halisi. EATV/m
kasi