Boniphace Bembele Ng'wita
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 3,475
- 1,860
Hivi unafahamu kwamba maelezo yako hayajaeleweka ?
Unawahi wapi?
Kwanini usiandike kitu watu wakakuelewa badala ya kukurupuka namna hiii
ona sasa aibu gani hii unaleta hapa
huyu nae alikua anataka sifa tu kutembea peku...........
Na badala ya kupata sifa kaishia kupata magambahuyu nae alikua anataka sifa tu kutembea peku...........
Wewe siyo siri utakuwa mjamzito
haa haa haaa ushawah kuwa mwalim nn?
Umewaza kama mimi mana jamaa kawa mkali angekua karibu naye angempa bakora
SASA KWENYE VYOO VYETU HIVI VYA USWAHILINI ALIKUWA ANAINGIAJE? AU ALIKUWA ANATUMIA VIMFUKO VYA RAMBO? TEH TEH:sleepy::sleepy::sleepy: