Boniphace Bembele Ng'wita
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 3,475
- 1,860
Huyu jamaa nyimbo zake nazikubar zinaujumbe mzr, ila sasa maelezo na misemo yake huwa kama amepitia kale ka mti.....
Maana we mtu huvai viatu, au mganga wake kumwambia ck akivaa viatu atapotea kwenye fani
Mpotoo punguza ujuaji, tambua pia tupo karne ya 21.
Maana we mtu huvai viatu, au mganga wake kumwambia ck akivaa viatu atapotea kwenye fani
Mpotoo punguza ujuaji, tambua pia tupo karne ya 21.