Raimundo JF-Expert Member Joined May 23, 2009 Posts 13,416 Reaction score 12,618 Sep 8, 2016 #21 MO11 said: tatizo ni hiki kizazi hatutaki kuaminishwa vitu vya hovyo hovyo Click to expand... Mkuu walengwa wanaamini hayo wanayoambiwa, ndo maana watu wanaendelea kujaza viwanja kwenye fiesta. Wateja wao nao ni wa hovyo hovyo
MO11 said: tatizo ni hiki kizazi hatutaki kuaminishwa vitu vya hovyo hovyo Click to expand... Mkuu walengwa wanaamini hayo wanayoambiwa, ndo maana watu wanaendelea kujaza viwanja kwenye fiesta. Wateja wao nao ni wa hovyo hovyo
screpa JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 10,857 Reaction score 15,866 Sep 8, 2016 #22 Mr. Blue siwezi kusema kwamba ni the best, but no doubt he is one of the best toka bongofleva ianze
Mapensho star JF-Expert Member Joined Jun 30, 2016 Posts 3,052 Reaction score 4,104 Sep 8, 2016 #23 samsun said: Ni mtazamo wake,kama yule msanii wa Nigeria Kiss Daniel aliposema,Harmonize ni msanii bora kwa TZ. Click to expand... samsun said: Ni mtazamo wake,kama yule msanii wa Nigeria Kiss Daniel aliposema,Harmonize ni msanii bora kwa TZ. Click to expand... we jamaa ndo kifesi ?
samsun said: Ni mtazamo wake,kama yule msanii wa Nigeria Kiss Daniel aliposema,Harmonize ni msanii bora kwa TZ. Click to expand... samsun said: Ni mtazamo wake,kama yule msanii wa Nigeria Kiss Daniel aliposema,Harmonize ni msanii bora kwa TZ. Click to expand... we jamaa ndo kifesi ?
samsun JF-Expert Member Joined Feb 9, 2014 Posts 7,386 Reaction score 5,965 Sep 8, 2016 #24 Mapensho star said: we jamaa ndo kifesi ? Click to expand... Ndio mimi,vipi siruhusiwi kuwepo JF ???
George Betram JF-Expert Member Joined Oct 10, 2015 Posts 4,672 Reaction score 6,272 Sep 8, 2016 #25 samsun said: Ndio mimi,vipi siruhusiwi kuwepo JF ??? Click to expand... πππ
B Boondocks JF-Expert Member Joined Mar 18, 2013 Posts 800 Reaction score 694 Sep 8, 2016 #26 born again pagan said: Blue is tearing them apart since 2004 except Sir Nature. Click to expand... Since 2002 alipotoa Blue blue.
born again pagan said: Blue is tearing them apart since 2004 except Sir Nature. Click to expand... Since 2002 alipotoa Blue blue.