Mrisho Mpoto nenda na wakati

Mrisho Mpoto nenda na wakati

Tatizo linaweza kuwa ni muuzaji wa nyumba. Hataki mambo ya bank. Kuna wakati niliuza kijishamba changu. Mpemba alikataa katakata kufanya mauzo tukiwa Bank. Ilibidi kuchukua risk kupewa cash na kizikimbiza bank!

Mkuu nadhani hiyo pesa hukuifanyia jambo la maana.
 
Mkuu nadhani hiyo pesa hukuifanyia jambo la maana.

Ilifanyiwa mambo ya maana. Tulipoipata tukakimbia bank na kuiweka. Baada ya kama miezi sita ilisaidia sana kufanya shughuli ya maana tu.
 
Me nimeelewa tofauti hii stori!! aisee Kuna njia nyingi za kufikisha ''umbea'' mji huu, duuh !!

Haya tumeshajua kwamba Anko anaenda kununua Nyumba..

Nimejifunza kitu anyway...

Pole na hongera...!!! 1407093267871.jpg
 
Huwa anajifananisha na Ricardo Maria yule faza mwenye radio Ukweli ya Morogoro kutembea peku hadi watanzania wote wavae viatu ndio nae atavaa

Ha ha haaaa! Fr. Peku peku, I like so much that man of God.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Mpoto ni mtamaduni bado hajaingia digitali. Bado anabeba pesa kama karanga zitamcost!
 
Juzi ijumaa Mpoto alinusurika kuporwa kiasi kikubwa cha pesa wakati akitoka bank ya CRDB Mbagala kwenda kigamboni kupitia kongowe
Kwa mujibu wa maelezo yake nwenyewe alikuwa anaenda kununua nyumba kigamboni lakini ghafla akiwa njiani baada ya kutoka bank alipigiwa Simu toka bank kuwa kuna majambazi wanamfuatilia na alimame hapo hapo alipo na atapata msaada wa polisi
Kweli alisimama na akapata msaada na majambazi wakasepa
My take: biashara ya kubeba cash kuwa kwenda kufanya mauziano ya vitu imepitwa na wakati na ni hatari siku hizi mnakubaliana bei mnaandikishiana mnaenda kumalizana bank
Kwa akili yako wewe unamuona Mpoto mjanja au kwa kuwa naye siku hizi anajiona celeb.
 
na pastor aliyepewa 250 mil cash ukumbini unamshauri nini?nafikiri zake ni nyingi kushinda za mpoto.
Juzi ijumaa Mpoto alinusurika kuporwa kiasi kikubwa cha pesa wakati akitoka bank ya CRDB Mbagala kwenda kigamboni kupitia kongowe
Kwa mujibu wa maelezo yake nwenyewe alikuwa anaenda kununua nyumba kigamboni lakini ghafla akiwa njiani baada ya kutoka bank alipigiwa Simu toka bank kuwa kuna majambazi wanamfuatilia na alimame hapo hapo alipo na atapata msaada wa polisi
Kweli alisimama na akapata msaada na majambazi wakasepa
My take: biashara ya kubeba cash kuwa kwenda kufanya mauziano ya vitu imepitwa na wakati na ni hatari siku hizi mnakubaliana bei mnaandikishiana mnaenda kumalizana bank
 
Namkubali mpoto coz amechagua kuwa vile....na anaamin kwa analolifanya....kuhusu kubeba hela kwa bznes no comment

Maisha yana siri kubwa sana, ukute kuna kitu nyuma ya pazia.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom