Mnyenz
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 2,933
- 8,112
Tatizo linaweza kuwa ni muuzaji wa nyumba. Hataki mambo ya bank. Kuna wakati niliuza kijishamba changu. Mpemba alikataa katakata kufanya mauzo tukiwa Bank. Ilibidi kuchukua risk kupewa cash na kizikimbiza bank!
Mkuu nadhani hiyo pesa hukuifanyia jambo la maana.
