Tatizo linaweza kuwa ni muuzaji wa nyumba. Hataki mambo ya bank. Kuna wakati niliuza kijishamba changu. Mpemba alikataa katakata kufanya mauzo tukiwa Bank. Ilibidi kuchukua risk kupewa cash na kizikimbiza bank!
Mkuu nadhani hiyo pesa hukuifanyia jambo la maana.
Huwa anajifananisha na Ricardo Maria yule faza mwenye radio Ukweli ya Morogoro kutembea peku hadi watanzania wote wavae viatu ndio nae atavaa
Kwa akili yako wewe unamuona Mpoto mjanja au kwa kuwa naye siku hizi anajiona celeb.Juzi ijumaa Mpoto alinusurika kuporwa kiasi kikubwa cha pesa wakati akitoka bank ya CRDB Mbagala kwenda kigamboni kupitia kongowe
Kwa mujibu wa maelezo yake nwenyewe alikuwa anaenda kununua nyumba kigamboni lakini ghafla akiwa njiani baada ya kutoka bank alipigiwa Simu toka bank kuwa kuna majambazi wanamfuatilia na alimame hapo hapo alipo na atapata msaada wa polisi
Kweli alisimama na akapata msaada na majambazi wakasepa
My take: biashara ya kubeba cash kuwa kwenda kufanya mauziano ya vitu imepitwa na wakati na ni hatari siku hizi mnakubaliana bei mnaandikishiana mnaenda kumalizana bank
Juzi ijumaa Mpoto alinusurika kuporwa kiasi kikubwa cha pesa wakati akitoka bank ya CRDB Mbagala kwenda kigamboni kupitia kongowe
Kwa mujibu wa maelezo yake nwenyewe alikuwa anaenda kununua nyumba kigamboni lakini ghafla akiwa njiani baada ya kutoka bank alipigiwa Simu toka bank kuwa kuna majambazi wanamfuatilia na alimame hapo hapo alipo na atapata msaada wa polisi
Kweli alisimama na akapata msaada na majambazi wakasepa
My take: biashara ya kubeba cash kuwa kwenda kufanya mauziano ya vitu imepitwa na wakati na ni hatari siku hizi mnakubaliana bei mnaandikishiana mnaenda kumalizana bank
Namkubali mpoto coz amechagua kuwa vile....na anaamin kwa analolifanya....kuhusu kubeba hela kwa bznes no comment