Mrisho Mpoto ni mnafiq watu hawamjui tu


salamu kwako mkuu
 
Mpoto ana sura nzito sana....ule uso ukimtishia mtoto anakufa kabisa sio kuzimia.
 

Ule wimbo haukuwa wake alipewa shavu tu,ulikua wa Irine Sanga,wimbo ulipokuwa maarufu Mpoto akatoa wake wa "Mjomba"
 
aisee nimesoma huu uzi nikalinganisha na ishu ya bashite, jinsi jamaa anavyosutwa huko insta..

Alisimama kidete kweli kumtetea makonda sasa hivi hana la kusema.
 
Mrisho naye so failure kama Wengine. Atasema nini? Wasanii wana njaa xana.
 
Mzee wa 0713 uyo..nux mjomba uyu...ana2mia ayo mavaz kuficha ufuska wake mjomba
Alikupitia nini? Maana ulaji tigo ni tendo la falagha sasa we umejuaje? Sio lazima kila mtu awe CHADEMA kika mtu ana option yake.Mi nilikuwa na imani na upinzani ila naona ni wale wale tu maana nimejaribu kuchunguza wabunge wa CHADEMA wamefanya nini cha ajabu kwenye majimbo yao nimegundua Zero tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…