Mkuu kwenye mpunga ndo penye udhaifu wetu binadamu, cjui kama unakumbuka vigezo vilivotumika kumpokea na kumsimika ugombea lowasa badala ya slaajamaa mwepesi sana likishafika swala la pesa mbelea yake!
alishajiiishia siku nying!
kabaki nywele tu na tabasamu kama dume la mamba!