Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anajitahidi ila kuna katoto fulani hivi kako mwananyamala huwa anakazukia sijui alishakaacha au bado yupo nako..
nilitaka kuthibitsha ila tatzo lilikuwa sina mbuzi ila........kumbe mbuzi wako humuhumu so ntaandka thread then nta comment kwa kuponda najua ntawapata mbuzi wengi!kaka hao ni kama watoto wa mbuzi, ukiweka kamba watairuka na wanaokuja wote watafanya hivyo kibaya ni kwamba ata ukiitoa wanaokuja wataendelea kuruka.