Mrisho Ngasa Ni Kati ya Wachezaji wachache wa Kitanzania waliofanikiwa Kufanya Majaribio na Klabu ya EPl Westham united na kwa Taarifa zake alisema amefuzu majaribio ila aliwaambiwa arudi kwanza nchini kwa Lengo kufanya Mazoezi hasa ya kutafuta Stamina/Nguvu
Kati ya Vigezo alivyopewa ni Kupewa ratiba ya Special Diet ili kupata Stamina/Nguvu na Baada ya hapo aliambiwa Arudi
Kwa Sasa Mrisho Ngasa Anacheza Soka lake katika club Ya Fanja Nchini Oman
Je Ni Lini MrishonNgasa Atakidhi Vigezo Na kurudi Westham United akaungane na Akina Payet,Sakho,Lanzini,Kouyate Na Fletcher?