Mrisho Ngasa: Taarifa za kushindwa kumaliza kuku mzima ni uzushi

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?

''Kila kitu ni bahati, mtu anaweza kuwa huku Tanzania akasema mrisho kashindwa na kuna stori zilikuja eti Mrisho kashindwa kumaliza kuku, lakini hizo ni stori tu mtu mmoja akiamua kuongea zinavuma, lakini kitu hicho cha kushindana kula hakuna'' - Mrisho Khalfani Juma Ngasa Mchezaji wa zamani wa Simba S.C na Young Africans S.C

Usikose kuitazama #SalamaNa kila siku ya Alhamisi saa 3:00 usiku, kupitia EastAfricaTv pekee.

✍🏿: @goodluckepafra

#SalamaNa #HainaKuchoka #EastAfricaTv

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…