Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Bado haujaona.Utaona tu.Sasa huyo sio kuku ni bata Mzinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado haujaona.Utaona tu.Sasa huyo sio kuku ni bata Mzinga
Wale wazungu walipomuita kwa majaribio kwa ule ufupi walijua ni kinda wakalikuze wenyewe kufika kule akajichanganya akawaambia ukweli kuwa ana wake wawili tayari hapo hapo wakamfungashia viragoWadau hamjamboni nyote?
''Kila kitu ni bahati, mtu anaweza kuwa huku Tanzania akasema mrisho kashindwa na kuna stori zilikuja eti Mrisho kashindwa kumaliza kuku, lakini hizo ni stori tu mtu mmoja akiamua kuongea zinavuma, lakini kitu hicho cha kushindana kula hakuna'' - Mrisho Khalfani Juma Ngasa Mchezaji wa zamani wa Simba S.C na Young Africans S.C
Usikose kuitazama #SalamaNa kila siku ya Alhamisi saa 3:00 usiku, kupitia EastAfricaTv pekee.
✍🏿: @goodluckepafra
#SalamaNa #HainaKuchoka #EastAfricaTv
View attachment 3100808
Aliyepikwa au kukaangwa?Kwa mtu anaefanya mazoez kuku mmoja n kitu kidogo sana
Hakika hakuna winger nilyewahi kumkubali kama Anko NgasaThe guy was very talented
Hz story zipogo sana, kuna njemba alinambia Hashimu Thabit anakula mara 6 Hadi 8 kwa siku.Wadau hamjamboni nyote?
''Kila kitu ni bahati, mtu anaweza kuwa huku Tanzania akasema mrisho kashindwa na kuna stori zilikuja eti Mrisho kashindwa kumaliza kuku, lakini hizo ni stori tu mtu mmoja akiamua kuongea zinavuma, lakini kitu hicho cha kushindana kula hakuna'' - Mrisho Khalfani Juma Ngasa Mchezaji wa zamani wa Simba S.C na Young Africans S.C
Usikose kuitazama #SalamaNa kila siku ya Alhamisi saa 3:00 usiku, kupitia EastAfricaTv pekee.
✍🏿: @goodluckepafra
#SalamaNa #HainaKuchoka #EastAfricaTv
View attachment 3100808
Na zaidi jomba,wapo kuku ni wakubwa kinoma akipita anapiga mshindoNa kuna hao wengine hadi 5kg hadi.
Hata mimi pia nakula mara sita kwa sikuHz story zipogo sana, kuna njemba alinambia Hashimu Thabit anakula mara 6 Hadi 8 kwa siku.
Ila ujinga wake umemuacha masikini?The guy was very talented
SawaHata mimi pia nakula mara sita kwa siku
Kuna kipindi kina Drogba walivyokuja nilisikia eti alikuwa anakula hadi kuku watano kwa siku😁Story ya kitambo sana,eti ooh wachezaj wengine wa huko ulaya walikuwa wanakula mpaka kuku wawili
Hizi story sjui zilikuwa zinatungwa na nani na Mimi niliaminishwa hivyo miaka ya 2010Kipindi kile Ivory Cost ya kina Drogba wanakuja kucheza Tanzania niliambiwa kuwa Drogba huwa anakula mbuzi mzima peke yake.
Mimi kipindi hicho nilikua nakula ng'ombe mzima.Kipindi kile Ivory Cost ya kina Drogba wanakuja kucheza Tanzania niliambiwa kuwa Drogba huwa anakula mbuzi mzima peke yake.