Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
Hivi kwa kukataa ile dola miaka ile je kubaki kwake ilijilipa au
Ningekuwa nakujua ningepima urefu wako na unene wa mwili wako halafu nikafananisha na huu utumbo wa bata ulioandika hapa halafu nikapata uwiano.Hii habari imewakera sana Jangwani. Vijana wanalalama kuwa Ngasa atafanikiwa kimaisha timu itadhoofu. Mmiliki wa Yanga anasubiriwa kutoa kauli kwa wafuasi na mashabiki wa timu.
Mtaa wa pili nawasifu hawana shida katika kuwatafutia wachezaji wao riziki. Ngasa atachukiwa sana mafurikoni watamwita msaliti.