Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,577
Leo katika Jimbo la Karatu mrithi wa kiti cha Ubunge katika Jimbo hilo amechukua fomu kwa maandamano makubwa na kusindikizwa na wananchi wa mji wote wa Karatu.
Huyu anaitwa Israel Yohana Natse. Alikuwa mkuu wa Jimbo KKKT ,Jimbo la Karatu .
Huyu anaitwa Israel Yohana Natse. Alikuwa mkuu wa Jimbo KKKT ,Jimbo la Karatu .