Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeona mijadlaankadhaa inaendelea
Niwajuze kile cheo sio cha urithi kamweee
Na tunavyoendelea niwajuze tu
RAISI atakaeenda kumrithi Hon Ndungulile atatokea Rwanda
Siandiki kwa chuki naandika kwa uhalisia
Nawatakia kila la kheri
Hapana wanaoingia kwenye kinyanganyiro mkuu na miamba kadhàa kasome Ile Ngoma ya Rwanda iliopambana na ngululie utanielewa anaefwata nani
Kwa upeo mdogo wa alietangaza jina anaweza hisi kama wanavyopeana vyeo chamani na Phd za kubumba na kimataifa itakuwa hivyo hivyo.Nilijua cheo kishagawiwa ile juzi. Maana tumetangaziwa hadharani
No bfastKwa upeo wake mdogo anaweza hisi kama wanavyopeana vyeo chamani na kimataifa itakuwa hivyo hivyo.
Huyo aliempendekeza atarudi na aina mpya ya lishe lakini sio kupata wadhifa.
Ndugulile alikuwa ni wa kipekee.
hilo ndilo analolijua.No bfast
Eat b4......
Slip well....
Hahaha
Hahaha mambo yaKwa upeo mdogo wa alietangaza jina anaweza hisi kama wanavyopeana vyeo chamani na Phd za kubumba na kimataifa itakuwa hivyo hivyo.
Huyo aliempendekeza atarudi na aina mpya ya lishe lakini sio kupata wadhifa.
Ndugulile alikuwa ni wa kipekee.
Saa100 ataaibika soon!!!!🤣Ina maana wewe unapingana na amri ya amri jeshi mkuu?
Amri zake zinaishia kwa makada, machawa, mapolicccm nk Hana sauti World Health OrganizationIna maana wewe unapingana na amri ya amri jeshi mkuu?
Hivi mkuu wa nchi na ww kinyangarika nani mwenye info!!??Saa100 ataaibika soon!!!!🤣
Kwa upeo mdogo wa alietangaza jina anaweza hisi kama wanavyopeana vyeo chamani na Phd za kubumba na kimataifa itakuwa hivyo hivyo.
Huyo aliempendekeza atarudi na aina mpya ya lishe lakini sio kupata wadhifa.
Ndugulile alikuwa ni wa kipekee.
Amri zake zinaishia kwa makada, machawa, mapolicccm nk Hana sauti World Health Organization
Humiliation, that is what is going to happen.I look forward to seeing what will happen 😂 😂 😂 😂
kabisa. halafu ile story ya skin walker mbona hujaendeleza???Amri zake zinaishia kwa makada, machawa, mapolicccm nk Hana sauti World Health Organization