Mrithi wa Ndugulile nafasi ya WHO Afrika atatokea Rwanda

Mrithi wa Ndugulile nafasi ya WHO Afrika atatokea Rwanda

Nilijua cheo kishagawiwa ile juzi. Maana tumetangaziwa hadharani
Kwa upeo mdogo wa alietangaza jina anaweza hisi kama wanavyopeana vyeo chamani na Phd za kubumba na kimataifa itakuwa hivyo hivyo.

Huyo aliempendekeza atarudi na aina mpya ya lishe lakini sio kupata wadhifa.

Ndugulile alikuwa ni wa kipekee.
 
Kwa upeo mdogo wa alietangaza jina anaweza hisi kama wanavyopeana vyeo chamani na Phd za kubumba na kimataifa itakuwa hivyo hivyo.

Huyo aliempendekeza atarudi na aina mpya ya lishe lakini sio kupata wadhifa.

Ndugulile alikuwa ni wa kipekee.
Hahaha mambo ya
No bfast
Eat b4
Noeatwanga
Slpwell....
 
Kwa upeo mdogo wa alietangaza jina anaweza hisi kama wanavyopeana vyeo chamani na Phd za kubumba na kimataifa itakuwa hivyo hivyo.

Huyo aliempendekeza atarudi na aina mpya ya lishe lakini sio kupata wadhifa.

Ndugulile alikuwa ni wa kipekee.

I don't understand some issues...ila daah, RIEP Dr. Ndugulile
 
Kitendo tu Cha mama Yao kuanza kuropoka kuwa wewe tunakupeleka WHO tayari hapo kamnyima nafasi huyo janabi.Maana WHO haiendeshwi Kwa mihemko na kurithishana kama yeye alivyorithishwa urais.Kunauwezekano mkubwa sana huyo mwakilishi wa Rwanda akashinda kutokana na CV yake kuwa imeshiba kuliko ya janabi.
 
Back
Top Bottom