Mrithi wa Ndugulile nafasi ya WHO Afrika atatokea Rwanda

Mrithi wa Ndugulile nafasi ya WHO Afrika atatokea Rwanda

Mama atuachie Prof Janabi wetu huku huku bongo aendelee kutupa shule zake ambazo hatuwezi kuziweka katkka matendo kutokana na kujaa nadharia.
 
Kwa upeo mdogo wa alietangaza jina anaweza hisi kama wanavyopeana vyeo chamani na Phd za kubumba na kimataifa itakuwa hivyo hivyo.

Huyo aliempendekeza atarudi na aina mpya ya lishe lakini sio kupata wadhifa.

Ndugulile alikuwa ni wa kipekee.
Naunga mkono hoja mkuu,

ila hayo mapicha picha yaliyowekwa hapo kwa sasa ni dhahiri kabisa tumeshafeli.
 
Ipigwe tu interview ya kufa mtu tuone ni nani atapita. Siku za nyuma kulikuwa na mashindano ya Coca-Cola kati ya vyuo vikuu vya East Africa, interview iliyopigwa Tz tulitoka kapa.
 
Na tunavyoendelea niwajuze tu wanaenda kwenye kinyanganyiroo na members kadhàa wa nchi kadhaa.

Rais atakaeenda kumrithi Hon Ndungulile atatokea Rwanda.

Siandiki kwa chuki naandika kwa uhalisia.

Nawatakia kila la kheri.
Anaenda kumrithi kwenye kitu gani mkuu?
 
Ipigwe tu interview ya kufa mtu tuone ni nani atapita. Siku za nyuma kulikuwa na mashindano ya Coca-Cola kati ya vyuo vikuu vya East Africa, interview iliyopigwa Tz tulitoka kapa.
Na ile ya Zain Inter University Challange. Yule Prof alikuwa smartsana. " One minute at ease".

Nilikuwa sikosi kuangalia Ergeton University, Nkumba University, Mzuzu University just to mention few.
 
Back
Top Bottom