Ramesses II
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 3,710
- 5,054
Mama atuachie Prof Janabi wetu huku huku bongo aendelee kutupa shule zake ambazo hatuwezi kuziweka katkka matendo kutokana na kujaa nadharia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja mkuu,Kwa upeo mdogo wa alietangaza jina anaweza hisi kama wanavyopeana vyeo chamani na Phd za kubumba na kimataifa itakuwa hivyo hivyo.
Huyo aliempendekeza atarudi na aina mpya ya lishe lakini sio kupata wadhifa.
Ndugulile alikuwa ni wa kipekee.
Anaenda kumrithi kwenye kitu gani mkuu?Na tunavyoendelea niwajuze tu wanaenda kwenye kinyanganyiroo na members kadhàa wa nchi kadhaa.
Rais atakaeenda kumrithi Hon Ndungulile atatokea Rwanda.
Siandiki kwa chuki naandika kwa uhalisia.
Nawatakia kila la kheri.
Na ile ya Zain Inter University Challange. Yule Prof alikuwa smartsana. " One minute at ease".Ipigwe tu interview ya kufa mtu tuone ni nani atapita. Siku za nyuma kulikuwa na mashindano ya Coca-Cola kati ya vyuo vikuu vya East Africa, interview iliyopigwa Tz tulitoka kapa.
Zingatia afya yako mzeeHahaha mambo ya
No bfast
Eat b4
Noeatwanga
Slpwell....
Wine hajasema bado labda aseme leoMuhimusana ongeza na wine mzee
Lugha ngumuMfikishien ujumbe aongezee hii bana anatukatili Wana mutyayoba mushankutoraa byarushbya nk
What really happened to our beloved son? Mbona hatujui ilikuwaje? Dunia ina mazagazaga mengi sana hii.Tanganyika mlicheza na lulu!
Sasa tulieni Kagame afanye lake
CCM ikishasema ujue tayari, kilichobaki ni mjomba Mpoto kutunga wimbo wa kumsifu mama.Nilijua cheo kishagawiwa ile juzi. Maana tumetangaziwa hadharani
Kanyangarika ndio nini mkuu 🤣🤣🤣🤣🤣Hivi mkuu wa nchi na ww kinyangarika nani mwenye info!!??