PSL god
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 8,435
- 6,476
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna watizame mwendelezo kuna kitu watajifunza,maana mabinti wakiwaona hawa wadangaji wanao binua na kuanika matako social networks wanachanganyikiwa na kuhisi wamechelewa maisha na tena wakiwaona mara wapo Dubai, Nigeria,Ibiza ,US nk wanavurugwa kabisa ila behind za scene wanafake na biashara yao kubwa ni kujiuza naona sijui soko limemkataa kaingia kwenye upatu,kakutana na makauzu wanamnyosha japo tayari kishawapiga hela zao.Fungua uzi
Pesa ndefu sana
Kuandika siyo ishu sana nina uncle wangu kwasasa umri umeenda sana alianza kumiliki gari kubwa hizi za biashara (maroli) kusoma kwake tu shida aliotea mali mgodi. Ukimuona huwezi amini kwahiyo mwandiko bado si kipimo sahihi.Eti tuliofanikiwa hahahah,huu mwandiko uliojaa njaa,Nakupa onyo la mwisho kaa mbali na wapenzi wetu wenye MATAKO MAKUBWA
Kila kitu kina mda wake kwenye maisha. Hata huyu ana maisha zaidi ya hapa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1312352
Sent using Jamii Forums mobile app
MSAGA SUMU aliwahi kusema huyu malaya aligoma kuonekana kwenye video ya harmonize kwasababu hapendi kuvaa nguo zinazoonesha mwili wake (nusu uchi).Wanazengo mnamtambua mrembo hapo pichani. Naona anatrend sana mitandaoni ikiewemo IG kiufupi anaonekana kuwa level moja na sanchoka kwenye maswala yalee. Inasemekana anatoka Iringa. Kwa mwenye details zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna kitu cha maana apo alichonacho vyote fake fakeWanazengo mnamtambua mrembo hapo pichani. Naona anatrend sana mitandaoni ikiewemo IG kiufupi anaonekana kuwa level moja na sanchoka kwenye maswala yalee. Inasemekana anatoka Iringa. Kwa mwenye details zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app