Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh,.ingekuwa vizuri angetuma hiyo thread mwenyewe, au wewe chawa??
Achana na hater huyo ana ugomvi mpaka na moyoDuuh,.
raraa reree sterling ka type hapa 💥💥💥Kwakweli haikua rahisi sana kama nilivyokua nadhani,. Lakini naamini kwa uwezo wa Mungu na kwa maombi yenu lilipita salama,. Na ninaendelea vizuri kabisa,.
Ni upendo wa ajabu,. Maana sikua natarajia kama kuna wengine wangekuja kunitembelea Hospitali na Kuja kuniona nyumbani lakini walifika,,. Asante na wengine pia mliokua mnanipigia simu kunijulia hali kila siku,. Hakika nilijiskia kufarijika sana sana sana
Mwenyezi Mungu awalinde wote,. Na awabariki kwa upendo wenu❤️🙏
Anazimia tuu kwa muda 😆Oi
raraa reree sterling huwa hafi ujue 🤣🤣🤣
Hao ndio wale jmaaa wabana ridhiki, wanakua karibu napis mda ote alafu ukimuuliza utasikia rafiki angu tuingekuwa vizuri angetuma hiyo thread mwenyewe, au wewe chawa??
😁😁😁😁Hao ndio wale jmaaa wabana ridhiki, wanakua karibu napis mda ote alafu ukimuuliza utasikia rafiki angu tu
Lazima niibuke mshindiAllah ni mwema - nipo kwa mkapa nafatilia mashindano ya Quran