Ms Leejay is back

Ms Leejay is back

Kwakweli haikua rahisi sana kama nilivyokua nadhani,. Lakini naamini kwa uwezo wa Mungu na kwa maombi yenu lilipita salama,. Na ninaendelea vizuri kabisa,.

Ni upendo wa ajabu,. Maana sikua natarajia kama kuna wengine wangekuja kunitembelea Hospitali na Kuja kuniona nyumbani lakini walifika,,. Asante na wengine pia mliokua mnanipigia simu kunijulia hali kila siku,. Hakika nilijiskia kufarijika sana sana sana

Mwenyezi Mungu awalinde wote,. Na awabariki kwa upendo wenu❤️🙏
Tunafurahi kuona umerejeaa ukiwa na afya njema
 
Kwakweli haikua rahisi sana kama nilivyokua nadhani,. Lakini naamini kwa uwezo wa Mungu na kwa maombi yenu lilipita salama,. Na ninaendelea vizuri kabisa,.

Ni upendo wa ajabu,. Maana sikua natarajia kama kuna wengine wangekuja kunitembelea Hospitali na Kuja kuniona nyumbani lakini walifika,,. Asante na wengine pia mliokua mnanipigia simu kunijulia hali kila siku,. Hakika nilijiskia kufarijika sana sana sana

Mwenyezi Mungu awalinde wote,. Na awabariki kwa upendo wenu❤️🙏
Life is all about ❤.
Yote kwa upendo. Karibu tena jukwaani.
 
Kwakweli haikua rahisi sana kama nilivyokua nadhani,. Lakini naamini kwa uwezo wa Mungu na kwa maombi yenu lilipita salama,. Na ninaendelea vizuri kabisa,.

Ni upendo wa ajabu,. Maana sikua natarajia kama kuna wengine wangekuja kunitembelea Hospitali na Kuja kuniona nyumbani lakini walifika,,. Asante na wengine pia mliokua mnanipigia simu kunijulia hali kila siku,. Hakika nilijiskia kufarijika sana sana sana

Mwenyezi Mungu awalinde wote,. Na awabariki kwa upendo wenu❤️🙏
Barikiwa sana mom....sifa na utukufu tunamrudishia Bwana🙏
 
Kwakweli haikua rahisi sana kama nilivyokua nadhani,. Lakini naamini kwa uwezo wa Mungu na kwa maombi yenu lilipita salama,. Na ninaendelea vizuri kabisa,.

Ni upendo wa ajabu,. Maana sikua natarajia kama kuna wengine wangekuja kunitembelea Hospitali na Kuja kuniona nyumbani lakini walifika,,. Asante na wengine pia mliokua mnanipigia simu kunijulia hali kila siku,. Hakika nilijiskia kufarijika sana sana sana

Mwenyezi Mungu awalinde wote,. Na awabariki kwa upendo wenu❤️🙏
Ni jambo jema na la kushukuru nasi tunamshukuru Mungu kwa ajili ya uponyaji na uzima wako.

Tunakuombea sister Mungu aendelee kukuponya, kukulinda na kukutia nguvu zaidi.

Amani ya Bwana Yesu izidi kukutawala.
 
Kwakweli haikua rahisi sana kama nilivyokua nadhani,. Lakini naamini kwa uwezo wa Mungu na kwa maombi yenu lilipita salama,. Na ninaendelea vizuri kabisa,.

Ni upendo wa ajabu,. Maana sikua natarajia kama kuna wengine wangekuja kunitembelea Hospitali na Kuja kuniona nyumbani lakini walifika,,. Asante na wengine pia mliokua mnanipigia simu kunijulia hali kila siku,. Hakika nilijiskia kufarijika sana sana sana

Mwenyezi Mungu awalinde wote,. Na awabariki kwa upendo wenu❤️🙏
Mungu ni mkuu hakika.
 
Kwakweli haikua rahisi sana kama nilivyokua nadhani,. Lakini naamini kwa uwezo wa Mungu na kwa maombi yenu lilipita salama,. Na ninaendelea vizuri kabisa,.

Ni upendo wa ajabu,. Maana sikua natarajia kama kuna wengine wangekuja kunitembelea Hospitali na Kuja kuniona nyumbani lakini walifika,,. Asante na wengine pia mliokua mnanipigia simu kunijulia hali kila siku,. Hakika nilijiskia kufarijika sana sana sana

Mwenyezi Mungu awalinde wote,. Na awabariki kwa upendo wenu❤️🙏

Watu mnapigiana simu na kutembeleana nje ya JF 🙆🏾‍♂️

Speedy recovery. Godspeed 🙏🏾
 
Back
Top Bottom