T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,674
- 29,643
Pokea taarifa njema za kurudi salama mpendwa wetu😀ingekuwa vizuri angetuma hiyo thread mwenyewe, au wewe chawa??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pokea taarifa njema za kurudi salama mpendwa wetu😀ingekuwa vizuri angetuma hiyo thread mwenyewe, au wewe chawa??
Aiseeeeeee!!Haiombwi hivyo bro
Ngoja Sir. God aendelee kumponya zaidi.Wacha weeee Boss karudi mavocha yatarejea
Sawa mkuuMadaktari na manesi waliomtibu na kumhudumia ndio wema sana.
🤣😁😁💔Hao ndio wale jmaaa wabana ridhiki, wanakua karibu napis mda ote alafu ukimuuliza utasikia rafiki angu tu
Tunafurahi kuona umerejeaa ukiwa na afya njemaKwakweli haikua rahisi sana kama nilivyokua nadhani,. Lakini naamini kwa uwezo wa Mungu na kwa maombi yenu lilipita salama,. Na ninaendelea vizuri kabisa,.
Ni upendo wa ajabu,. Maana sikua natarajia kama kuna wengine wangekuja kunitembelea Hospitali na Kuja kuniona nyumbani lakini walifika,,. Asante na wengine pia mliokua mnanipigia simu kunijulia hali kila siku,. Hakika nilijiskia kufarijika sana sana sana
Mwenyezi Mungu awalinde wote,. Na awabariki kwa upendo wenu❤️🙏
Asante mkuu🥰🙏Tunafurahi kuona umerejeaa ukiwa na afya njema
TuishiAsante mkuu🥰🙏
Life is all about ❤.Kwakweli haikua rahisi sana kama nilivyokua nadhani,. Lakini naamini kwa uwezo wa Mungu na kwa maombi yenu lilipita salama,. Na ninaendelea vizuri kabisa,.
Ni upendo wa ajabu,. Maana sikua natarajia kama kuna wengine wangekuja kunitembelea Hospitali na Kuja kuniona nyumbani lakini walifika,,. Asante na wengine pia mliokua mnanipigia simu kunijulia hali kila siku,. Hakika nilijiskia kufarijika sana sana sana
Mwenyezi Mungu awalinde wote,. Na awabariki kwa upendo wenu❤️🙏
Barikiwa sana mom....sifa na utukufu tunamrudishia Bwana🙏Kwakweli haikua rahisi sana kama nilivyokua nadhani,. Lakini naamini kwa uwezo wa Mungu na kwa maombi yenu lilipita salama,. Na ninaendelea vizuri kabisa,.
Ni upendo wa ajabu,. Maana sikua natarajia kama kuna wengine wangekuja kunitembelea Hospitali na Kuja kuniona nyumbani lakini walifika,,. Asante na wengine pia mliokua mnanipigia simu kunijulia hali kila siku,. Hakika nilijiskia kufarijika sana sana sana
Mwenyezi Mungu awalinde wote,. Na awabariki kwa upendo wenu❤️🙏
Kumbe pia mkuu huwa unapost nishazoea kuona ukilike tuAnazimia tuu kwa muda 😆
Tajiri hakosi RAFIKI😂.tajir wetu wa vocha hana baya.ingekuwa vizuri angetuma hiyo thread mwenyewe, au wewe chawa??
Ni jambo jema na la kushukuru nasi tunamshukuru Mungu kwa ajili ya uponyaji na uzima wako.Kwakweli haikua rahisi sana kama nilivyokua nadhani,. Lakini naamini kwa uwezo wa Mungu na kwa maombi yenu lilipita salama,. Na ninaendelea vizuri kabisa,.
Ni upendo wa ajabu,. Maana sikua natarajia kama kuna wengine wangekuja kunitembelea Hospitali na Kuja kuniona nyumbani lakini walifika,,. Asante na wengine pia mliokua mnanipigia simu kunijulia hali kila siku,. Hakika nilijiskia kufarijika sana sana sana
Mwenyezi Mungu awalinde wote,. Na awabariki kwa upendo wenu❤️🙏
Mungu ni mkuu hakika.Kwakweli haikua rahisi sana kama nilivyokua nadhani,. Lakini naamini kwa uwezo wa Mungu na kwa maombi yenu lilipita salama,. Na ninaendelea vizuri kabisa,.
Ni upendo wa ajabu,. Maana sikua natarajia kama kuna wengine wangekuja kunitembelea Hospitali na Kuja kuniona nyumbani lakini walifika,,. Asante na wengine pia mliokua mnanipigia simu kunijulia hali kila siku,. Hakika nilijiskia kufarijika sana sana sana
Mwenyezi Mungu awalinde wote,. Na awabariki kwa upendo wenu❤️🙏
Kwakweli haikua rahisi sana kama nilivyokua nadhani,. Lakini naamini kwa uwezo wa Mungu na kwa maombi yenu lilipita salama,. Na ninaendelea vizuri kabisa,.
Ni upendo wa ajabu,. Maana sikua natarajia kama kuna wengine wangekuja kunitembelea Hospitali na Kuja kuniona nyumbani lakini walifika,,. Asante na wengine pia mliokua mnanipigia simu kunijulia hali kila siku,. Hakika nilijiskia kufarijika sana sana sana
Mwenyezi Mungu awalinde wote,. Na awabariki kwa upendo wenu❤️🙏