T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,674
- 29,643
Pokea taarifa njema za kurudi salama mpendwa wetu๐ingekuwa vizuri angetuma hiyo thread mwenyewe, au wewe chawa??
Aiseeeeeee!!Haiombwi hivyo bro
Ngoja Sir. God aendelee kumponya zaidi.Wacha weeee Boss karudi mavocha yatarejea
Sawa mkuuMadaktari na manesi waliomtibu na kumhudumia ndio wema sana.
๐คฃ๐๐๐Hao ndio wale jmaaa wabana ridhiki, wanakua karibu napis mda ote alafu ukimuuliza utasikia rafiki angu tu
Tunafurahi kuona umerejeaa ukiwa na afya njemaKwakweli haikua rahisi sana kama nilivyokua nadhani,. Lakini naamini kwa uwezo wa Mungu na kwa maombi yenu lilipita salama,. Na ninaendelea vizuri kabisa,.
Ni upendo wa ajabu,. Maana sikua natarajia kama kuna wengine wangekuja kunitembelea Hospitali na Kuja kuniona nyumbani lakini walifika,,. Asante na wengine pia mliokua mnanipigia simu kunijulia hali kila siku,. Hakika nilijiskia kufarijika sana sana sana
Mwenyezi Mungu awalinde wote,. Na awabariki kwa upendo wenuโค๏ธ๐
Asante mkuu๐ฅฐ๐Tunafurahi kuona umerejeaa ukiwa na afya njema
TuishiAsante mkuu๐ฅฐ๐
Life is all about โค.Kwakweli haikua rahisi sana kama nilivyokua nadhani,. Lakini naamini kwa uwezo wa Mungu na kwa maombi yenu lilipita salama,. Na ninaendelea vizuri kabisa,.
Ni upendo wa ajabu,. Maana sikua natarajia kama kuna wengine wangekuja kunitembelea Hospitali na Kuja kuniona nyumbani lakini walifika,,. Asante na wengine pia mliokua mnanipigia simu kunijulia hali kila siku,. Hakika nilijiskia kufarijika sana sana sana
Mwenyezi Mungu awalinde wote,. Na awabariki kwa upendo wenuโค๏ธ๐
Barikiwa sana mom....sifa na utukufu tunamrudishia Bwana๐Kwakweli haikua rahisi sana kama nilivyokua nadhani,. Lakini naamini kwa uwezo wa Mungu na kwa maombi yenu lilipita salama,. Na ninaendelea vizuri kabisa,.
Ni upendo wa ajabu,. Maana sikua natarajia kama kuna wengine wangekuja kunitembelea Hospitali na Kuja kuniona nyumbani lakini walifika,,. Asante na wengine pia mliokua mnanipigia simu kunijulia hali kila siku,. Hakika nilijiskia kufarijika sana sana sana
Mwenyezi Mungu awalinde wote,. Na awabariki kwa upendo wenuโค๏ธ๐
Kumbe pia mkuu huwa unapost nishazoea kuona ukilike tuAnazimia tuu kwa muda ๐
Tajiri hakosi RAFIKI๐.tajir wetu wa vocha hana baya.ingekuwa vizuri angetuma hiyo thread mwenyewe, au wewe chawa??
Ni jambo jema na la kushukuru nasi tunamshukuru Mungu kwa ajili ya uponyaji na uzima wako.Kwakweli haikua rahisi sana kama nilivyokua nadhani,. Lakini naamini kwa uwezo wa Mungu na kwa maombi yenu lilipita salama,. Na ninaendelea vizuri kabisa,.
Ni upendo wa ajabu,. Maana sikua natarajia kama kuna wengine wangekuja kunitembelea Hospitali na Kuja kuniona nyumbani lakini walifika,,. Asante na wengine pia mliokua mnanipigia simu kunijulia hali kila siku,. Hakika nilijiskia kufarijika sana sana sana
Mwenyezi Mungu awalinde wote,. Na awabariki kwa upendo wenuโค๏ธ๐
๐๐๐๐๐ingekuwa vizuri angetuma hiyo thread mwenyewe, au wewe chawa??
Mungu ni mkuu hakika.Kwakweli haikua rahisi sana kama nilivyokua nadhani,. Lakini naamini kwa uwezo wa Mungu na kwa maombi yenu lilipita salama,. Na ninaendelea vizuri kabisa,.
Ni upendo wa ajabu,. Maana sikua natarajia kama kuna wengine wangekuja kunitembelea Hospitali na Kuja kuniona nyumbani lakini walifika,,. Asante na wengine pia mliokua mnanipigia simu kunijulia hali kila siku,. Hakika nilijiskia kufarijika sana sana sana
Mwenyezi Mungu awalinde wote,. Na awabariki kwa upendo wenuโค๏ธ๐
Kwakweli haikua rahisi sana kama nilivyokua nadhani,. Lakini naamini kwa uwezo wa Mungu na kwa maombi yenu lilipita salama,. Na ninaendelea vizuri kabisa,.
Ni upendo wa ajabu,. Maana sikua natarajia kama kuna wengine wangekuja kunitembelea Hospitali na Kuja kuniona nyumbani lakini walifika,,. Asante na wengine pia mliokua mnanipigia simu kunijulia hali kila siku,. Hakika nilijiskia kufarijika sana sana sana
Mwenyezi Mungu awalinde wote,. Na awabariki kwa upendo wenuโค๏ธ๐