Msaaada jinsi ya kuanzisha software company bongo

C.T.U

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2011
Posts
5,074
Reaction score
3,743
wakuu naomba kuuliza swali ?
Mfano mtu anataka kuanzisha something like website ambayo itakuwa na software application yake kwa both PC na mobiles sawa je jinsi ya kupata leseni kwa biashara ya namna hii yaweza kugharimu kiasi gani??

Je leseni ya kibiashara inachukua muda gani??


Je apart leseni ya biashara ni process gani ambazo zinatakiwa zifuatwe mpaka kuweza kuifanya hii biashara na ikatambulika kama biashara halali??

Naombeni msaada katika hili coz nimeshindwa kufuatilia coz niko mbali kidogo na bongo

mdau afrika

mdau, ughai
 
Kuwa na website hapo pana maelezo zaidi, kama vile je utakuwa na server yako mwenyewe? au utahitaji ISP a-host hiyo web yako katika server zake?
Kuhusiana na usajili hilo ni suala la Brella, hao ndiyo wanahusika na usajili wa makampuni, kuhusu muda ni mara baada ya kukamilisha kuhakiki taarifa za hiyo kampuni kama ilivyoelekezwa katika form zao, japo suala hili hutawaliwa na urasimu zaidi ila nimeshau the specific time mentioned.
Pia inategemea je unahitaji business name? au Limited comapany.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…