Msaaada kujua ofisi za Baraza la mitihani Tz

Chomx_active

Member
Joined
Nov 27, 2015
Posts
9
Reaction score
9
Msaaada kujua kama ofisi za Baraza la mitihani Tz, je zimeamishiwa Dodoma au bado wapo Dar, nipo Arusha kwa hiyo nataka nijue wapi kwa kwenda!

Natanguliza shukrani
 
Kwa dar zipo sinza bamaga karibu na startimes na TBC, cjajua kama zimehamishiwa dom
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…