Chomx_active
Member
- Nov 27, 2015
- 9
- 9
Kwa dar zipo sinza bamaga karibu na startimes na TBC, cjajua kama zimehamishiwa dom
BamagaJamani naomba kuuliza office za necta zipo wapi mm nipo pwani
Ukiwa Mbezi Louis ,kibamba au Kimara panda gari za Makumbusho shuka Bamaga mbele kidgo Kuna posta halafu gate linalofuata ndo hapo.Jiran na Startimes.Jamani naomba kuuliza office za necta zipo wapi mm nipo pwani