Msaaada mwenye kujua jinsi ya kupata sports visa ya kwenda nchi yoyote ya ulaya

Msaaada mwenye kujua jinsi ya kupata sports visa ya kwenda nchi yoyote ya ulaya

  1. Uwe registered kwenye chama chochote cha michezo
 
Pia ni Lugha Gani Ambayo Inatumika katika interview. Kiswahili Ua English
 
wewe visa una zani utapewa na nani... ukiwa una toka wapi una enda wapi....? na ukiwa ni raia wa nchi gani? ukiwa tanzania na ni raia wa tanzania ni lazima ujue safari yako ni kuelekea wapi... ili uende kwenye ubalozi usika...

kumbuka lugha ya mawasiliano kimataifa na kibiashara kimataifa ni kizungu... hata ukienda ubalozi wa china, rassia... ili wageni wasio fahamu kichina au ki russia, hapa kizungu ndio kita tumika sio kiswahili... kiswahili, nazani kita chukua nafasi ukikamatwa huko nje na ukitaka kujifanya ujui kizungu ni kiswahili, hapo wata lazimika kukutafutia mkalimani ili wapate wanacho kiitaji toka kwako...
 
Back
Top Bottom