Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,812
- 107,628
Habari,
Namba kuuliza, nimekuwa nikifungiwa Acc yangu ya wasap kila mara napotumia mtu text. Hii imeanza kutokea baada ya kubarisha simu, nashindwa kuelewa kama shida ni simu au nini!
Maana wao wananiambia nimetuma spam massage but nakua sijatuma na sina magroup yoyote kwenye simu yangu!
Wakinifungia wanasema kua nilifungiwa kimakosa. Ndani ya hii wiki nishafungiwa kama mara 5.
Nifanyaje wakuu?
Baada ya kureview Acc yangu SASA...
Namba kuuliza, nimekuwa nikifungiwa Acc yangu ya wasap kila mara napotumia mtu text. Hii imeanza kutokea baada ya kubarisha simu, nashindwa kuelewa kama shida ni simu au nini!
Maana wao wananiambia nimetuma spam massage but nakua sijatuma na sina magroup yoyote kwenye simu yangu!
Wakinifungia wanasema kua nilifungiwa kimakosa. Ndani ya hii wiki nishafungiwa kama mara 5.
Nifanyaje wakuu?
Baada ya kureview Acc yangu SASA...