Faka25
JF-Expert Member
- Sep 14, 2021
- 1,738
- 1,134
U
Umewahi tumia simu ya oppoKwanza tatizo Lilianza kwenye simu niliyokua natumia na laini ya tigo. Wakafunga nikafuta nikapakua Upya nikajiunga baada ya muda wakafungia. Nikabadili simu na laini.. wakafungia. Nikabadili simu nyingine hii nayo ndio hivyo hivyo. Sijui nifanyaje