Khanji kapoor
JF-Expert Member
- Oct 19, 2024
- 1,198
- 2,695
Mimi ni mkubwa buana nimefungua post 20 nakutafuta toka jana sikuoni nikupe ujumbe wako mzuri πAbee mdogo wangu
Post 20 ndio niniMimi ni mkubwa buana nimefungua post 20 nakutafuta toka jana sikuoni nikupe ujumbe wako mzuri π
Inasemwa mrs besigye alimpa tamu mzee mseven ugomvi ukaanzia apoMrs Besyige .... Mzee wetu Besigye anaendeleaje huko jamani?? Wajukuu tunaulizia maendeleo yake na afya yake kwa ujumla... π
Washabifungia tena aiseeπMrs Besyige .... Mzee wetu Besigye anaendeleaje huko jamani?? Wajukuu tunaulizia maendeleo yake na afya yake kwa ujumla... π
Duuh....pole sana yaani wameipiga ban tena wakati unatafuta solutionWashabifungia tena aiseeπ
View attachment 3255598
Hata Mimi jamani hivyo hivyo nikajua Ni pekeangu waungwana tusaidiane maana leo namtumia kesho inajifunga kila siku hivyohivyoMimi mwenyewe Nina tatizo Kama lako
Duh,Kama ulishatumia simu za vivo hiyo ni kawaida