Waungwana nilimepata college kwa kupitia NACTE Je! nikitaka badil collge nitumie procedure za tcu ama zipo pia za nacte, Plz nisaidien kabla muda haujakwisha
mimi naona ni hizo hizo za TCU sababu kwenye form ile kuna applicant category ambayo kuna form six, foreign certificate etc ambayo inaweza kua tena diploma na wengineo kama wapo
Huwezi tumia procedures za TCU kama ulidahiliwa NACTE kwani info zako zote ziko NACTE siyo TCU. Wapigie NACTE simu uulize utaratibu. Namba za wawakilishi wa NACTE mikoani ziko fb ya NACTE.
Ikishindikana, taratibu za transfer subiri hadi j3 ijayo zitawekwa kwenye website yao(tetesi) kwani sasa bado wanashughulika na selection.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.